Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ulimwengu unandaliwa kuamini kuwa LGBTQAI+
ni sawa, hakuna tatizo

Ulimwengu unandaliwa kuamini kuwa LGBTQAI+
ni sawa, hakuna tatizo. Hata hivyo Neno la Mungu kimsingi linasema hapana, tabia hizo ni mbaya, na ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu.

Katika Warumi 1:19-28 tunasoma mistari ifuatayo, ambayo inaonyesha wazi kwamba ushoga na usagaji ni chukizo kwa Mungu.

Warumi 1:19-28
19 Kwa maana mambo ya Mungu yanayojulikana ni dhahiri ndani yao; kwa maana Mungu amewadhihirishia.
20 Kwa maana mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake, yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; ili wasiwe na udhuru.
21 Kwa maana, walipomjua Mungu, hawakumtukuza kama ndiye Mungu, wala hawakumshukuru; bali walipotea katika fikira zao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.
22 Walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wapumbavu,
23 wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na vitambaavyo.
24 Kwa hiyo Mungu aliwaacha wafuate uchafu kwa kuzifuata tamaa za mioyo yao, hata wakavunjiana heshima miili yao wenyewe kati yao wenyewe.
25 ambao waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakiabudu na kukitumikia kiumbe kuliko Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
26 Kwa sababu hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, kwa maana hata wanawake wao walibadili matumizi ya asili kuwa yasiyo ya asili.
27 Vivyo hivyo wanaume nao waliacha matumizi ya asili ya mwanamke, wakawakiana tamaa wao kwa wao; wanaume wafanyao mambo machafu, wakajipatia nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo sawasawa.
28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Katika ukaidi wa wazi kwa amri ya Mungu, kulikuwa na wiki nzima ya sherehe za Mashoga katika Ikulu ya Marekani, kuonyesha kwamba Amerika katika ngazi za juu ya juu kabisa ya serikali, inaidhinisha ushoga, na niseme LBGTQIA+ kwa ujumla. Sasa kwa nini tukizingatia haya yote ghafla inakuwa kosa kuweka bandiko humu JF kuhusu ushoga wa familia ya Obama? Inasumbua akili yangu.

Kumekuwa na uvumi kwa muda mrefu kuwa familia ya Obama ni ya watu waliobadili jinsia zao na ni mashoga, lakini sasa kuna ushahidi thabiti kwamba ni kweli. Tazama hapaπŸ‘‡


View: https://twitter.com/TuckerCarlson/status/1699142858844864846?s=20
Inashangaza kwamba familia ya Obama imekuwa ikipinga ukweli huu ulio wazi, huku ikihalalisha tabia hiyo mbaya kwa wengine. Inashangaza pia kwamba JF imefuta bandiko nililoweka kuhusu kashfa ya familia ya Obama ya ushoga, huku familia hiyo ikihalalisha tabia hiyo mbaya kwa wengine na pia ikipigiwa chapuo katika ngazi za juu kabisa za serikali yao.

Je, hii inaniambia nini? Inaniambia kwamba yule mtu wa ndani wa mwanadamu anajua kwamba tabia hiyo si sahihi, lakini kuna nguvu iliyofichwa nyuma ya pazia ambayo inalazimisha ajenda hiyo kwa wanadamu, na nguvu hiyo ni Ibilisi mwenyewe.

Lazima wote Kama Wanadamu tuseme hapana kwa Shetani, tuache unafiki, undumi la kuwili na shetani hatakuwa na nafasi katika maisha yetu.
 
Ndugu wewe unaona kama ushoga umeongezeka ni kwa sababu sasa hivi kuna ukubwa wa ongezeko la maendeleo ya sayansi taarifa unazipata kwa haraka, lakini nikwambie vitendo hivi vya ushoga na usagaji vimeanza muda mrefu huku mtaani tunafahamu lakini jamii ilikuwa ikilifumbua macho
 
Mathanzua back at it again
 
Mathanzua back at it again
Yes, I am at it again,condeming evil and that is the commission assigned to to me by the Lord Jesus Christ.

Here it isπŸ‘‡

So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill the body but cannot kill the soul. Rather, be afraid of the One who can destroy both soul and body in hell.” Mathew 10:26-28
 
You must the sharpest boy in the ward, sorry I mean Church.
 
Tusiwachome kwa kuwa sio kazi yetu kuwahukumu,tuwaombee Mungu ni wa huruma,atawabadilisha.Kama wasipobadilika shauri yao,Mungu atabaki kuitwa Mungu,ila waitazamie hukumu ya Mungu iliyo kuu na ya kutisha.
Mungu huyu huyu alitumia wafalme kuwanyoosha wafilaji.. na ilifikia kipindi Mungu huyo huyo alishusha moto sodoma.. Mtu akipata ka mpenyo ka kumtia kiberiti shoga sawa tu
 
wanaumbwa halafu wanakengeuka,

sasa kama hawajaumbwa wanatokea wapiπŸ˜‚
Binadamu ana utashi wake.. ndio maana anaweza mtu kuamka akaamua hiki na kuacha kile.. Mungu sio tahira, hakuumba choko.. kaumba mwanamdamu.. kampa utashi.. wa kuchagua baya na jemaa.... Kuna machoko humu wanafurahi kabisa uchoko wao.. na wengine wanapinga na ukitaka kujua uchoko ni chukizo hata jamii zetu uswazi hazitaki.. ndani yako unahukumiwa hata kama huamini Mungu.. ndio ujue jambo la kingese.. wapo wasio amini Mungu ila huwezi wapa habari za machoko wakakuelewa
 
Mungu huyu huyu alitumia wafalme kuwanyoosha wafilaji.. na ilifikia kipindi Mungu huyo huyo alishusha moto sodoma.. Mtu akipata ka mpenyo ka kumtia kiberiti shoga sawa tu
Hukumu ilikuwa papo kwa papo wakati wa Agano la Kale,muda ambao Mungu aliuta wakati wa ujinga.Sasa Mungu anataka tuwaombee waovu,ili nao wapate nafasi ya kutubu na kuokolewa.Bwana Yesu alionyesha mfano wa jambo hili Yeye mwenyewe.
Yohana 8:3-11
3 Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
Yohana 8:3

4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
Yohana 8:4

5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?
Yohana 8:5

6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
Yohana 8:6

7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Yohana 8:7

8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
Yohana 8:8

9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.
Yohana 8:9

10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?
Yohana 8:10

11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Yohana 8:11
 
ila mimi naamini mtu haamui kuwa shoga,

huwezi kuamua kua shoga na unajua kabisa utatengwa na unaweza kuuawa....

hii mada inanichanganya kwa kweli,

na naskia mtu akishakua shoga hawezi kubadilika tena
 
Hukumu Ilikuwa papo kwa papo wakati was Agano la Kale,muda ambao Mungu aliuta wakati wa ujinga.Sasa Mungu anataka tuwaombee waovu,ili nao wapate nafasi ya kutubu na kuokolewa.Bwana Yesu alionyesha mfano wa jambo hili Yeye mwenyewe.
Agano la kale, halijatenguliwa na agano jipya, isipokuwa limekuwa bora zaidi.. na ndio maana unaona kisago cha endtime ambapo tunasema agano jipya ni kikali zaidi kuliko agano la kale.. Mtu akipata mpenyo usiomtia hatiani.. nikumchoma moto paka afe.. Kama msomaji mzuri wa maandiko nyakati hizi ni za kisasi.. but upendo unatangulia.. ila uwepo wa upendo haundoi ghadhabu na hukumu
 
ila mimi naamini mtu haamui kuwa shoga,

huwezi kuamua kua shoga na unajua kabisa utatengwa na unaweza kuuawa....

hii mada inanichanganya kwa kweli,

na naskia mtu akishakua shoga hawezi kubadilika tena
.. Ushoga ni tabia yenye tendo mabaya.. ( maamuzi kabisa ) , ni kama mtu mnywa pombe anaweza amaua kunywa na kuacha.. ndivyo kwa choko pia.. anaweza amua au asiwe..

Sure kuna nguvu ikimuweza mtu ndani yake , anakuwa hana maamuzi tena kwenye nafsi yake hadi apate msaada wa nje.. hata komando anapo tekwa hutumwa komandoo wenzake kumchomoa.. kuna case mbali mbali za mtu kuwa choko.. na zipo ambazo mtu akisaidiwa anatoka na zipo ambazo mtu hachomoki..

Sio kweli, kuna mashoga wameacha.. na kuna mashoga wamekaza shingo.. sio kila shoga wa kuhukumiwa kuna wengine wanahitaji huruma na upendo kutoka huko.. ni kama ulevi wa madawa ya kulevya.. sio kila shoga anapenda kuwa huko, ila wanajikuta pia wengine wapo huko kwa kukosa watu wa kuwaongoza kwa upande pamoja na kuheshimu utu wao ili watoke huko.. ila wale mashoga pakashume.. hao ni pangaaa shwaaa shwaaa nikikutana nao kwenye 18 zangu.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
ila mimi naamini mtu haamui kuwa shoga,

huwezi kuamua kua shoga na unajua kabisa utatengwa na unaweza kuuawa....

hii mada inanichanganya kwa kweli,

na naskia mtu akishakua shoga hawezi kubadilika tena
Ni Shetani anayemfanya mtu awe shoga mkuu,Mungu sio mwanadamu hata aseme uongo.Ni kama vile mtu kuwa mzinzi au muongo tu.Uzuri ni kwamba ukimuamini Bwana Yesu anakupa uwezo wa kushinda.

Niseme hivi na bila kumung'unya maneno,bila Bwana Yesu Shetani atakuchezea kama mpira wa kona,including kuwa shoga,lesbian etc.etc.
 
Shida mnajuwa nini. Mm wakati nipo mdogo naakili timamu pale kariakoo, mtaa amani na mohoro, tulikuwa tunasikia mambo ya anti omary, shoga omari ila walikuwa wachache na walikuwa wanafanya mambo ya kwa privare. Ndomana sisi tulivyokuwa atujawa au atujapenda mambo ayo ya ushoga. Na chengine tulikuwa na michezo mingi kipindi hicho kidali, kombolela, kupika pika na tulikuwa tunacheza na dada zetu na kaka zetu. Tulikuwa tukicheza tukirudi umechoka kuoga na kulala.

Mambo ya utandawazi yalipo ingia tz. Tukaanza kuwa bize na tv kuangalia cartoon cnn, dtv, cartoon network, kipindi icho tv za analogy.

Sasa kipindi cha 2000 ndo mambo yakaanza kubadilika. Nakumbuka naanza kuangalia porn video nilikuwa na tumia motorola zile za kufungua nilipewa simu home nikakutana na hiyo x. Nadhani asilimia 100 utandawazi ndo umetualibu sana vijana. Kuiga mambo ya nje. Tukasahau tamaduni na michezo yetu yote iliokuwa inatuweka bize kama mazoezi katika maisha yetu.

Lakini sasa hivi. Uwezi kwenda bar ukakosa kukutana na shoga. Na wamekuwa wengi na wengi wengine unakutana na marafiki zako wengi wamekuwa chakula cha wanaume wenzao. Hii inasikitisha sana, kwa maesabu yangu asilimia 40 au 30 ya vijana wa kitanzania kwasasa ni mashoga na wengi wapo machuoni sana. Sijajua shida ni nn ila ndo hvyo tukijipa miaka 10 mengine mbele hali itakuwa mbaya zaidi. Sijui kutokana na maisha. Kuna wengine watakuambia waliingiliwa na ndugu zao kipindi wapo wadogo.

#Tiakiberitituwataisha #RIPJPM

Tutokomeze haya mambo maana mdaa huu mpaka mtaani tupo nao tunaishi nao ila ndo hvyo.

Fanyeni mambo yetu faragha. Au kwasili. Ila shida siku hizi na wao ndo wapo mitandaoni wanatafuta wateja kabisa imekuwa tena jambo la kawaida. Hii mbaya sana kwa taifa la kesho ambalo litakuwa linavaa pampas.
 
Hapana mkuu,yapo mambo ambayo yaliishia Calvary,na hili ni moja wapo,kama vile talaka nk..Nimekupa maandiko ambayo yule mwanamke Msamaria mzinzi Bwana Yesu mwenyewe hakumhukumu,soma tena hapa chini.

Yohana 8:3-11
3 Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
Yohana 8:3

4.Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
Yohana 8:4

5. Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?
Yohana 8:5

6. Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
Yohana 8:6

7. Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Yohana 8:7

8.Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
Yohana 8:8

9. Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.
Yohana 8:9

Tatizo ni kwamba hukumu zetu,si za haki,ndio maana Mungu amekataza tusihukumu.Naomba usome maandiko yafuatayo.

Mathayo 7:1-5
1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
Mathayo 7:1

2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa
Mathayo 7:2

3 Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
Mathayo 7:3

4 Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?
Mathayo 7:4

5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.
Mathayo 7:5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…