Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Mpumbavu Wewe!
I'm sorry for calling you that mkuu, lakini kama impact yake huioni kwa jamii yetu ya kitanzania, na haswa watoto wetu basi Wewe utastahili kuitwa mpumbavu.
 
Leo tutawabaini hapa mmoja baada ya mwingine[emoji23]
 
Hao Masheikh baada ya kuona hizi takwimu walitaka kuzungumza na kulaani hizi tabia bahati mbaya kabla ya kuanza jukwaa likadondoka.
Ngoja waamke tuwasikie walitaka kusema nini...
Bahati mbaya hata majini, na viumbe wengine kama shetani hawana jinsia....kwahiyo hawajali jinsia yoyote....unatongozwa yoyote afu utaamua mwenyewe mwili wako unautumiaje....unakula?? Au unapenda kuliwa??...hata wanawake wanapenda kula wenzao...
 
Bahati mbaya hata majini, na viumbe wengine kama shetani hawana jinsia....kwahiyo hawajali jinsia yoyote....unatongozwa yoyote afu utaamua mwenyewe mwili wako unautumiaje....unakula?? Au unapenda kuliwa??...hata wanawake wanapenda kula wenzao...
what's your point?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…