Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Mpumbavu Wewe!
Ila sijui upande wa wengine mnayachukuliaje haya mambo, yaani TTCRA ifungie hizo channel au wewe ndie ujue namna ya kumkanya mwanao na familia kwa ujumla, af
Mtu atoe kijampio chake kiliwe mi kinanihusu nini.
Mi kwa upande wangu hata kama serikali itaruhusu, nitapambana na walio chini yangu.
I'm sorry for calling you that mkuu, lakini kama impact yake huioni kwa jamii yetu ya kitanzania, na haswa watoto wetu basi Wewe utastahili kuitwa mpumbavu.
 
Kwa akili zako wewe unaweza kuzuia au kupambana na hili swala..?

Unajua kwann hayo mataifa yametoa data zao hizo (cos wanazingatia liberty-freedom to liveas you wish) na sio wanafki alafu wameendelea kielimu, kiuchumi na kijamii..

Mwisho tujifunze kuishi kwa kuzuia mihemko kuna mambo ni yakuyatazama na kuyashughulikia kwa namna nzuri bila kudhuru au kuumiza watu kisaikolojia.

Ebu imagine wewe ni Elizabeth ila umejikuta upo kwenye mwili wa Robert au wewe ni aisha ujikute upo kwenye mwili wa Omar what will happen?
Leo tutawabaini hapa mmoja baada ya mwingine[emoji23]
 
Waaat
IMG-20240602-WA0303.jpg
 
Hao Masheikh baada ya kuona hizi takwimu walitaka kuzungumza na kulaani hizi tabia bahati mbaya kabla ya kuanza jukwaa likadondoka.
Ngoja waamke tuwasikie walitaka kusema nini...
Bahati mbaya hata majini, na viumbe wengine kama shetani hawana jinsia....kwahiyo hawajali jinsia yoyote....unatongozwa yoyote afu utaamua mwenyewe mwili wako unautumiaje....unakula?? Au unapenda kuliwa??...hata wanawake wanapenda kula wenzao...
 
Bahati mbaya hata majini, na viumbe wengine kama shetani hawana jinsia....kwahiyo hawajali jinsia yoyote....unatongozwa yoyote afu utaamua mwenyewe mwili wako unautumiaje....unakula?? Au unapenda kuliwa??...hata wanawake wanapenda kula wenzao...
what's your point?
 
Back
Top Bottom