Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ukitoka huko na mijanaba yako ya kula Malaya wachafu wachafu wa kimboka unanenda kuwananga WALIMU.

Walimu hawakukufundisha ukanunue Malaya walikufundisha madhara ya ngono na magonjwa ya zinaa.

Wewe ni hasara kwa familia yenu na Taifa

The lost cause so sad.
 
wajinga ndio wanaoliwa
 
Dudu Linaitafuna Tanzania Yetu.....Inatia sana hasira kuona kijana wa kiume analiwa...! huko kwingineko mtoto wa staa maarufu wa Bongo Movie Monalisa, nae amejitangaza kuwa anajivunia kuwa SHOGA,viongozi wa dini waongeze kukemea haya masuala,UZUNGU SIO KUWA SHOGA, Dini iko wap?
 

Dini gani?tangu lini dini iza wazungu na waarabu zikazuia ushoga,vita ya ushoga na uzinzi ishawashinda kitambo.
 
Bila shaka uyu jamaa ni mkenya. Tayari ameshakazwa uzungu kichwani. Usiamini kila unachoambiwa na wazungu. Hiyo bayoloji ni wazungu nd wamekuletea na wameandika wanachotaka wao, na umeshanasa ktk mtego wa wazungu. Swali langu ni je, ukipata mtoto wa kiume alaf akawa shoga vp utamuacha t kwasbb nd ulivomzaa et
 
Ushoga ni Roho kamili iingiliyo watu na kuwatumikisha. Kiasili na kiuumbaji ni ngumu sana mwanaume kuingiliwa au kumuingilia mwanaume mwenzake bila kuwa na external force inayo mdrive. Angalia wanyama wengine wa asili, dume hawezi mpanda dume mwenzie na hiyo ndio nature na uumbaji wa Mungu. Hii ya wanadamu ni mapepo yanayowaingia na kuwa pelekesha ndio chanzo na Wala sio hizo blah blah za kisayansi. Nature ya mwanaume ni kutamani mwanamke na ndio maana tunakatazwa tusitamani kwenye dini zetu.

Hivi ni nani asiyetaka kuila mbususu kama ya mabeto au Uwoya eti wewe ndiwe ugongwe. Yaani uache kukojolea sehemu nzuri vile za wanawake eti wewe ndio ukojolewe na mwanaume mwenzio. Mungu atusaidie kwa kweli.
 
We jamaa bazazi kweli
 
"Wameandika wanachokitaka wao" sio kweli bro. Kumbuka biology zao hizohizo ndio zinawezesha kupandikiza mimba kwa wale wanaopata changamoto ya kushika mimba. Biology zao izoizo ndio zinatupatia dawa na matibabu mbalimbali ikiwemo ya upasuaji...

Na ukizaa mtoto shoga unatakiwa ufanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp huyu ndy alikuwa anampa mauno almasi jukwaani

Ova
 
Blah blah hizo. Mimi nafuga Mbuzi, Ng'ombe na Mbwa sijawahi ona Mbuzi dume akipandwa na Mbuzi dume au Ng'ombe dume akipandwa na Ng'ombe dume. Sijawahi ona Mbwa dume kwa dume wakipandana na hata hiyo link yako hakuna sehemu wamesema Simba dume anampanda simba Simba dume mwenzio.
 
Mm nilishawahi kuona bull dog wanapanda mbwa koko dume. Walimvamia huyo mbwa wakaanza kumpiga then wakambaka na wakamuua kwa kumchana chana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…