Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tabia za kiume kwa mtoto sio aende kufundishwa na watoto wenzie(kuna uwezekano akaharibika huku). Kama unavyopinga mtoto wa kiume kuambatana na mamaye, wape wanaume mwito wa kuandamana na watoto wao ili wajifunze kutoka kwao.
Sio lazima aandamane na mwanaume, kikubwa mwache mtoto acheze na watoto wenzie na sio kumzurulisha kwa mashoga zake.
 
Waacheni watu wawe huru

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ushoga na Usagaji unasababishwa na hizi Industries za Music ,fashion na Media halafu kama umepeleleza katika movie yyote special western movie utakuta gay au lesbian wamo ndani ya movie kwa mfano UK Walimu wanawambia wanafunzi unaweza kuwa vile unavotaka ikiwa unajihisi unataka kuwa mme wkat weye mke or vise vasa kwa kweli hili janga ni la ulimwengu mzima sio bongo tu na balaa kubwa jengine ni kuwa mwanamme anajiga sindano ya kuota maziwa anakuwa all round anatiwa na anatia vile vile lkn kajikita zaidi katika ukike.Mungu atunusuru sana vizazi vyetu lkn ni balaaa kubwa.
 
Mmmmmmhmn ndugu hebu katafiti tena. Hormones hazianzi kufunction per DNA instructions, Hormones reaction ni direct influence ya kimazingira.

Hakuna any biological proof kuwa chromosomes zinaweza kuwa altered na damu na kuathiri jinsia au maamuzi ya kijinsia.

Kama mtu kazaliwa ni mwanaume atakuwa hivyo tuu kwa asilimia zote na kama ni wa kike atakuwa hivyo. Ila sasa shida ni kuwa kuna makundi ya leftist propagandists wanaokuza huu uongo ili ionekane kuwa haya mambo ya ushoga ni biologically born...... Upuuuuuuzi nasema ni upuuzi na uongo.


Hawa unaona mashoga ni direct result ya makuzi na malezi. Sababu zipo nyingi sana zinazopelekea mtu kuwa shouger !
 
Wrong again mkuuu. Wanawake wakibakwa huwa wanachukia sex na sio kupenda kuifanya sababu inawakumbusha maumivu.

Kulawitiwa kwa watoto wa kiume ni miongoni mwa triggers za ushoga.....
 
Wewe hebu usituchanganye hapa. Shika adabu yako kisawasawa. Nakuona tokea juu kule unachangia kwa mlengo wa kuunga mkono na kutetea homosexuals.

Wewe unafananishaje maswala ya rangi (Racism) na maswala ya magonjwa ya akili?!

Wewe..... Tena ushike adabu na ukome.... Hatutaki huo upuuzi Africa. Wewe utafurahia siku mtoto wako wa kiume anakwambia kuwa ananyooshwa na mwanaume mwenzake?!
 
Hamna sio kweli ...
 
Kupitia iyo link nilienda kuangalia ktk grouonlao la whats app nikawapiga mkwar a kwamba miee ni mwera nafanya upelelezi aisee walikimbia hao mashoga wali left kibao kama kuku πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† kumbe ni mashoga ni waoga bwanaaa wanaogopa polisi kuliko mwizi πŸ˜†πŸ˜†

Nimefanikiwa kulipukutisha grouo lao ila waka ni remove fasta nikajiunga kwa namba nyingine pia nikawatisha waka kimbia tena wengi tu
 
Mkuu mbona kama unawatetea yaani unaona ni sawa?! Hilo unalotetea ni tatizo la kiakili na hapa tunakemea hatujaja kusapoti. So why unatia efforts kutetea na si kukemea.

Hakuna mtu anachukia binadamu hapa tunachukizwa na tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…