verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Kwaio jamaa unapumuliwa?? Yaani unapelekewa pumzi ya moto??? Aah kmmmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa gays ni watu wa kuwatenga tu hakuna namna. Mwananume unapelekewa moto, kweli!!!???🤔🤔😳wanafeli sana!kuna siku nilipanda daladala ss akaja kukaa jamaa mmoja hv nikawa simuelewi pigo zake dah sikutaka hata kukaa nae karibu ikabid nisimame akae mtu mwingine
yan analia kwa mwanaume mwenzake mwe!Hawa gays ni watu wa kuwatenga tu hakuna namna. Mwananume unapelekewa moto, kweli!!!???[emoji848][emoji848][emoji15]
sio yule jamaa wa mavazi kweli???Hivi noeli ndiyo nani
Ova
Mkuu samahani naomba tuwekane sawa, unasema huungi mkono at the same time huwachukii na hapo umesema unaomba mtoto wako asije kuwa kama hao, sasa imagine siku umekaa baadae mtoto wako naye akaanza kukaa nao hao washenzi unadhani atajifunza nini?Idadi ya mapenzi ya jinsia moja tz ni kubwa sana hadi marafiki zangu nao wamo
You can agree with me kwamba the rate of same sex relationship in Tanzania is higher than we think...
Aaah shit hata sikujua. Hili PUNGA kabisa. Mods watu kama hawa ni wa kula vichwa tu
Kwa nini unaogopa kutaja kuwa Chama la mama yao ni connection ya mashoga?!Sitaki kuwataja majina yao,
lakini tunakoelekea ni kuangamiza jamii kwa upumbavu wa hawa tunaowaita wasanii,