Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

wanafeli sana!kuna siku nilipanda daladala ss akaja kukaa jamaa mmoja hv nikawa simuelewi pigo zake dah sikutaka hata kukaa nae karibu ikabid nisimame akae mtu mwingine
Hawa gays ni watu wa kuwatenga tu hakuna namna. Mwananume unapelekewa moto, kweli!!!???🤔🤔😳
 
Idadi ya mapenzi ya jinsia moja tz ni kubwa sana hadi marafiki zangu nao wamo
You can agree with me kwamba the rate of same sex relationship in Tanzania is higher than we think...
Mkuu samahani naomba tuwekane sawa, unasema huungi mkono at the same time huwachukii na hapo umesema unaomba mtoto wako asije kuwa kama hao, sasa imagine siku umekaa baadae mtoto wako naye akaanza kukaa nao hao washenzi unadhani atajifunza nini?

Yes unaweza kumuelimisha lakini imagine muelimishaji ana spend time na vitu ambavyo muelimishwaji anakatazwa unahisi hata mtoto atakuelewa? Ambacho naona tukatae kwa vitendo huu ushenzi kukishaanza kuwa sijui mi siwachukii ila siungi mkono tayari kunaanza kuwa na walakini hapo wataanza kukuona rafiki yao
 
Wasi wasi wako tu walahi
Hizo nchi zilizo wapa ruksa, bado wanaume kamili wapo kwa wingi sana walahi
 
Sitaki kuwataja majina yao, lakini tunakoelekea ni kuangamiza jamii kwa upumbavu wa hawa tunaowaita wasanii. Kwanzia mavazi yao, shereje zao, juzi nilikia naangalia uzinduzi wa EP ya Mboso nilisikitika sana! Mwanaume kavaa pensi anakatika nyuma ya kiuno cha mwanaume mwenzie na watu wanashangilia,

huu ni upumbavu, hata kama nchi ina uhuru lakini uhuru uwe na mipaka yake, sisi siyo wazungu ijulikane hivyo na ibaki hivyi hivyo!

Taifa linaingizwa kwenye laana kubwa! Mashoga wote na wenye viashiria vya ushonga weka jela huko wakatusaidie kulima. Baraza la sanaa mko wapi kutwa kuchwa viashiria vya ushoga vinaongezeka kupitia hawa wasanii wenu?

FB_IMG_16671148647143858.jpg

Nuhu Mziwanda, msanii wa Bongo fleva👆👆
 
Back
Top Bottom