Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Nina wasiwasi na hata nyumba zilizotulia haya mambo yapo. Ila inasikitisha zaidi kuona mtumishi wa Mungu nae hajambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaMuziki wa bongo fleva, taarabu na singeli vimechangia sana kushuka kwa maadili ya watto na wanaume.
Mziki mtu anakata mauno, mwanamke anampelekea matako mwanaume na mwanaume anafanya kama wanafanya mapenzi tofauti kuwa tu wamevaaa nguo, then huyo mtoto ukimkuta amepigwa staili ya chuma mchicha unasema kajifunzia wapi wakati wewe ndio umemfunza, umemwacha aangalie hiyo michezo lakini pia hujakemea badala yake wew ni mfuaasi wa huo ushenzi.
Ungekisanua kwa mapolisi kwamba kuna mashoga wana party hapo: Ila dah unatumia TECNO alafu unaenda bar, aisee hiyo hela ya bia si ungezichanga ununue sim original?Asee ushoga n janga kubwa
Jana nilikuwa nacheki world cup mech ya Brazil vs cameroun bar moja Maarufu ya TITANIC POSH iliyopo vingunguti relini jiran na kituo Cha scania inayomilikiwa na waziri George simbachawene
Fm academia walikuwa hapo na mh wazir Naye alikuwepo na mkewe Cha ajabu mashoga yalikuwa yanafanya part yao hapo pia dah yaan mh Naye alikuwa anafurahia tu huku wakimtajataja hao mashoga yanakata viuno tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shida kwa wanasayansi wanasema ushoga ni non_reversable action.Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuna sehemu ina mashoga kama Tabata,hata hiyo Kino haioni ndaniWe koma weee. Tabata hatuna huo upuuzi wako. Ni kinondoni.
Hakuna sehemu yenye malaya wengi na mashoga kama Tabata hapa nchiniHakuna sehemu ina mashoga kama Tabata,hata hiyo Kino haioni ndani
Hupendi mtaro?Inasikitisha mimi nikiwa kwenye mchezo akichukua ukuni nahakikisha unaingia pale penyewe had anajishitukia mbona hivo.
Astagfirullah!!Hupendi mtaro?
Hakika, ni laana. Nimeona humu jukwaani kuna watu wananyonya kinyeo kabisa. DahAstagfirullah!!