Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

IMG-20221205-WA0040.jpg
 
Ungekisanua kwa mapolisi kwamba kuna mashoga wana party hapo: Ila dah unatumia TECNO alafu unaenda bar, aisee hiyo hela ya bia si ungezichanga ununue sim original?
Hahaha MKUU kikubwa familia yangu inalala pazur wanakula Milo 3 wanasoma shule nzuri kwangu hayo n maendeleo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni mzoga Sasa unatoka wadudu kabisa,,
Ni shoga lililokubuhu kabisa.

Kuna siku nilimshuhudia sehmu anakata mauno hatari,,

Anapiga viuno ,,matako lainiiii,,,,

Alinipa wakati mgumu sana yule jamaa,,

Ingekuwa enzi zangu za ujahili nisingemuacha salama...
 
Huyu jamaa huwa simsomi pigo zake,amekaa kishogashoga flani hivi.

Hakuna mtu hapo! Imagine alikuwa na mke na watoto huko nyumbani kwao Kigoma! Ghafla anaamua kuwatelekeza, na baadaye anakimbilia mjini kuishi maisha ya aina hiyo!! Kuna nini hapo tena kimebakia!!!

Dar siyo sehemu sahihi ya kuishi. Maana karibia maovu yote nchini, chimbuko lake ni Dar.
 
WEWE UNAJIITA MFICHUA MAMBO.
UNAMAANA GANI.
UMETUDHALILISHA SANA WANAUME WA DAR ES SALAAM.


mfichuamambo.
Kadiri unavyozungumzia USHOGA.
Either KUUPINGA ama KUUKUBALI.
Mnaupromote, MNACHOCHEA USHOGA KWA HALI YA JUU.

WITO AKINA DADA VYUO.
MSITUMIE P2, MISCONSUPTION NA DAWA ZOTE ZA UZAZI WA MPANGO.

NI HATARI KWA AFYA ZA WATOTO WENU.
SHETANI MBAYA SANA
 
Mashoga hua yanajiamini labda kwa kua yana Ile confidence ya kiume kuna moja ilo linaishi sinza linaimba injili
Anakufata inbox bila wasiwasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Back
Top Bottom