Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwa sababu anapenda wanaume wenzie and you can't change that. I'm telling you this because I am a man who have dated two married men na wote walioa kwa presha za umri na familia, not out of love. So Pray harder yasikukute dear
Kwamba ulifukua mitaro ya jamaa?? Au sijaelewa vizuri maana kidhungu nacho kwa sisi tuliosoma mkanyageni shule ya msingi ni shida kidogo
 
Msumbiji wako tofauti sana. Wao kwa miaka mingi tu, binti akipata mimba hafukuzwi shule.

Amandla...
 
Lakini why mwanaume mwezie mimi mwanaume akichepuka siwazi na mimi nachepuka na mwanaume ambaye kamzidi kila kitu ila hapo kwa magay hapana

Tuachane na habari za ushoga ambazo sitaki hata kuzijadili.

Hivi kuchepuka na mwanaume mwingine baada ya waume zenu kuwacheat huwa mdhani ni kisasi kinacho athiri wanaume? Nani aliwadanyanga?
 
Wahuni w
Wahuni wanasema kule kuna joto kali sana
Wewe nae unaonekana unapenda uho mchezo
Tuachane na habari za ushoga ambazo sitaki hata kuzijadili.

Hivi kuchepuka na mwanaume mwingine baada ya waume zenu kuwacheat huwa mdhani ni kisasi kinacho athiri wanaume? Nani aliwadanyanga?
wala sio kisasi ila ujue na mimi naweza kufanya kama ufanyavyo
 
wala sio kisasi ila ujue na mimi naweza kufanya kama ufanyavyo

In the long run, wewe ndiye utakuwa muathirika zaidi ya huyo mwanaume wako aliyetangulia kukucheat.

Tulieni, anapocheat kubali kusamehe au kama hauwezi achana nae.
 
In the long run, wewe ndiye utakuwa muathirika zaidi ya huyo mwanaume wako aliyetangulia kukucheat.

Tulieni, anapocheat kubali kusamehe au kama hauwezi achana nae.
Ninyi mkipigiwa wake zenu mnaumia kumbe
 
Hii issue iko tricked na ina macho makali ya mbali,watu wakae kwa tahadhari pana. Sijui sn lkn nionavyo itakuja ing'oke na watawala na vyama vya siasa vimetawala miaka mingi (hasa wataojifanya rigid). Nijuavyo wale jamaa hajawah ku fail wanapolitaka jambo lao.
Kwa mbalii nayaona yakirejelea ya kina Saddam,Gadaf. Ndiy maana Mama Mkulu wetu hapa anaiongelea kijanja sana
mama mkulu anatamka hilo jambo kijanja asije akanukuliwa kama ndiyo msimamo wa serikali. Wale mabalozi watamjia juu, bora awaachie wanadini wajitamkie watakavyo
 
Kwa sababu anapenda wanaume wenzie and you can't change that. I'm telling you this because I am a man who have dated two married men na wote walioa kwa presha za umri na familia, not out of love. So Pray harder yasikukute dear
Kwaiyo wewe unaliwa mkuu
 
Ushoga ni tatizo la Dhambi. Na dhambi maana yake
1. Kushindwa kufika viwango vya uadilifu.
2. Ni kupinda kiasilia
3. Kupungukiwa na utukufu wa Mungu
Na kila mwanadamu ni mdhambi kiasilia, amepinda,hana uwezo kifikia malengo ,wala kuwa mcha Mungu, hii iko tangia unazaliwa, na kila mtu yuko na weakness yake, huyu shoga, huyu jambazi, mzinzi, kibaka, muongo n.k orodha ni ndefu.
Sambamba na HIYO HATUWEZI kuweka sheria ya KUKUBALIANA na Dhambi ikiwemo USHOGA bali kutafuta suluhu yake.

DAWA ya Dhambi(USHOGA) ni YESU, Maana imeandikwa

"Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki. "
Warumi 5:19

Dawa ya ushoga ni watu kumuamini YESU kuwa aweza kuwaokoa toka ktk shimo hilo.
Ushoga ni roho za kishetani zitawalazo ndani ya mioyo ya watu na kizazi hiki cha New age, kiko na muelekeo wa kishetani, dawa ya shetani ni Kristo.
Jamii inayokubaliana na Ushoga ni jamii inayoharalisha Uasi kwa Mungu ulio wa wazi.
Lakini kukosa huruma kwa wadhambi *(mashoga) ni kutoamini juu ya huruma za Mungu aliye Rahim kwa wote.

#USHOGA# HAUKUBALIKI NI LAANA
 
Back
Top Bottom