Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Na wish sigara iwe NO,Kwa hiyo kwa kifupi wewe una wish kila kitu kiwe halali, kisiwepo cha NO hata kimoja [emoji53]
Na wish ndoa chini ya miaka 18 ziwe NO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wish sigara iwe NO,Kwa hiyo kwa kifupi wewe una wish kila kitu kiwe halali, kisiwepo cha NO hata kimoja [emoji53]
Alafu una wish ushoga uwe YES 🤔Na wish sigara iwe NO,
Na wish ndoa chini ya miaka 18 ziwe NO.
Jaribu Ku Google upate maelezo Simba akifanya hivyo anakua ana maanisha nini kwa Dume mwenzie...kifupi hapo hamkazi isipokua anakua anampiga biti kuwa yeye ndio Mtemi wa eneo ilo.Halafu Kama ishu Ni wanyama. Mbona nao wanafanya?View attachment 2618241
aisee 😂😂anampiga biti kuwa yeye ndio Mtemi wa eneo ilo.
Halafu Kama ishu Ni wanyama. Mbona nao wanafanya?View attachment 2618241
Mahakama ipii hiyo?? Uongo mtupuu.Jaribu Ku Google upate maelezo Simba akifanya hivyo anakua ana maanisha nini kwa Dume mwenzie...kifupi hapo hamkazi isipokua anakua anampiga biti kuwa yeye ndio Mtemi wa eneo ilo.
Kuhusu vita ya mashoga sasa hivi wanapandishwa kizimbani kimya kimya kusomewa mashtaka...juzi nilikua Mahakama fulani nikawaona.
Wanafuta kisa naongea ukweli. Wanyama wanafanya ushoga wapo. Proof zipo ..watu wanasema hoo it's not natural wanyama hawafanyi haya wanafanya jiteteeni sasaWakupe tu Ban sasa hii thread unapost wanafuta unapost tena?
Una shilingi ngapi uje na mashahidi?Mahakama ipii hiyo?? Uongo mtupuu.
Haya umeongelea Simba... attachment nyingine kuhusu wanyama wengine mbona umeruka. Kuna ushoga Hadi kwa sokwe stadi zimefanyikaJaribu Ku Google upate maelezo Simba akifanya hivyo anakua ana maanisha nini kwa Dume mwenzie...kifupi hapo hamkazi isipokua anakua anampiga biti kuwa yeye ndio Mtemi wa eneo ilo.
Kuhusu vita ya mashoga sasa hivi wanapandishwa kizimbani kimya kimya kusomewa mashtaka...juzi nilikua Mahakama fulani nikawaona.
Ishu sio hii...watu wanatumia wanyama Kama kigezo...hoo binadamu mnashindwa na wanyama akili hoo hamna mnyama shoga. So nimeamua kuwaonyesha kua hizi story ni za uwongo.Kwa hiyo wakifanya Wanyama nawe wataka au me Sijaelewa 🙄
Unapenda sana pesa wee wakili?? Taja hiyo mahakama unaficha nn? Uongo mtupuu.Una shilingi ngapi uje na mashahidi?