Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Wasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.
siyo ulijiunga sasa unajuta
 
Wasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.
ushayaona facebook?
yamkini ndo unatumia mitandao kwa mara ya kwanza
 
Hili ni tatizo jipya kwa ulimwengu mzima, na wa magharibi ndio wanapambania saana hili janga lienee, kuanzia katuni, movies, michezo yaani kila sekta.. Tujitahidi kuzuia kwenye level ya familia, ila kwa jamii nzima ngumu, ukizingatia hata serikali yetu haijachagua upande rasmi, ni wapo wapo tu, kina juma lokole wanatangaza vituo vya habari huko na wengineo wengi.
 
Hili ni tatizo jipya kwa ulimwengu mzima, na wa magharibi ndio wanapambania saana hili janga lienee, kuanzia katuni, movies, michezo yaani kila sekta.. Tujitahidi kuzuia kwenye level ya familia, ila kwa jamii nzima ngumu, ukizingatia hata serikali yetu haijachagua upande rasmi, ni wapo wapo tu, kina juma lokole wanatangaza vituo vya habari huko na wengineo wengi.
So sad
 
Ungetuwekea hiyo link kwanza ili nikisha shuhudia hayo unayo yasema nipate msukumo wa kufanya maombi vzri …. I mean ile nguvu ya kumshawishi Sir God iwepo
 
Wasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.
Wanasagana wao, wewe tatizo lako nini?
 
Back
Top Bottom