mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wasanii na wabunifu wao wa mavazi 😄Inasikitisha sana.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii na wabunifu wao wa mavazi 😄Inasikitisha sana.
🤣🤣🤣Surrat 7, hata mtume muhamad alikula tundu la huzuni kwa Hadija mkewe
Tukiungana kwa pamoja kama watz na tukakubaliana hili suala tuwakabizi wazee wa kukata suluwali (Masuni), kesho asubuhi tu itabaki kuwa historia.Jamii tuliyonayo imeshaharibika hata itiwe ndimu haisaidii kitu, cha muhimu ninachokiona ambacho kitasaidia kupunguza (Sio kuondoa) tatizo tulilonalo ni kuwa kila mmoja wetu apaze sauti yake kuanzia ngazi ya familia, ukoo na hata jamaa zake katika kuwaelezea tatizo hili, nahisi kwa kiasi fulani itasaidia.
Kila mmoja wetu na atimize wajibu wake.
Tukienda kwa mwendo huo, mambo yote yatakaa sawa. Lakini je umefikiria wale wa kudai haki za binaadamu nao watasemaje juu ya hilo? Ndio maana nikasema kuanzia ngazi ya familia. Shida kubwa ya kizazi tulichonacho kimechanganyika kwenye mambo mengi lakini basic imeanzia kwenye malezi. Au umesahau pia kama kuna wale wa "Junior no......!!"Tukiungana kwa pamoja kama watz na tukakubaliana hili suala tuwakabizi wazee wa kukata suluwali (Masuni), kesho asubuhi tu itabaki kuwa historia.
Basi tu ni matumizi mabaya ya chuki.Ngojaa wajee wakupopoee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
OK, usijali hata Diddy naye ni Msomali ndio anawafumua kwa upande wa Marekani.Ushoga ni utamaduni wa waarabu wao wanasema ni sunna za mtume.
Tutayasikia Mengi 😆😆Wameshavuka huko, sahivi ni "kiduara" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naam mashallah MashallahAu siyo?
wewe mwenyewe unafanyaAcha uongo, uhuni wako unataka uwaunganishe na wengine, hiyo asilimia 90 umeitoa wapi?
Nimeshawahi kukufanya mpaka unatoa huu ushuhuda?wewe mwenyewe unafanya
Oyaaa hapo kwenyewe vipi, hapo kwenyewe shegaaaah, wanaume tuna unafiki sana, haya kisa cha kupenda makalio ya wadada ni nini 🤣🤣😅😅😅Shangaaa wee mwenzangu, case za ulawiti kila siku uraiani.
Ila hapa wanakataaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli, wanaobisha waache wabishe.hoja sio nani ni mstaarabu kwa sifa zipi,hoja ni wanaume wengi kwa sasa wanakula kwa mpalange,na hata viongozi wa dini wanakula na kuliwa kwa kwa mpalange
Utafiti wako umeufanya kwa vitendo au nadhariaHuu ndio ukweli,japo tunajifanya watakatifu,lakini ni waraibu wa kwa mpalange,hakuna cha wasomi,matajiri,malofa,viongozi wa dini,wanasiasa,wasanii au wanamichezo,wote ni kwa mpalange
Ni kama ukimwi kila mtu hana 😀😀kila mtu hafanyi unajiuliza wanaofanya ni kina nani😂😂
ewaaaNi kama ukimwi kila mtu hana 😀😀