Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

wa kiume hapaswi kurudi nyuma kwenye tukio lolote na kugegeda mwanaume halisi ni muda wa masaa 5 bila kupumzika
 
1. Ata uone kitu kimekaa poa niaje hutakiwi kusema," Awww, that's soo cute.Huo ni ushoga mtu wangu.
2. Haufai kusema aya maneno kuonyesha umeshtuka," Gosh, Akaah,
ama OMG'
3. Ukiomba kitu hufai kusema," Jamaaaniiiii au pliizzzz '
4. Ukitext please usitumie," Xo' 'Xema' 'Xaxa' 'Pouwar' ama 'Xwirry'
5. Kummendea demu/mke wa rafiki yako, shemeji shemeji kibao ..shauri yako utakojoa dagaa .
6. Hufai kuongea kuhusu washikaji wengine ukiwa na madem. Huo ni umbea mwanangu.
7.Rangi ya pink usiitumie sana kwenye vitu vyako ata kama unaipenda sana.
8. Dem akikukataa chapa lapa kiroho safi na sio eti uanze kudanganya masela ooh yule mi nishammega.
9. Usiongeeongee eti unaeza kumpiga mtu flani. Huo ni utoto, kama vp nenda kampige tuone.!
10. Usiwe mtu wa kununa ovyo ovyo, alafu kuhusu vitu vidogo vidogo, mfano; msela kachelewa kujibu msg yako..basi unanuna siku nzima unamnunia nani !
11. Kuchek tamthiliya tena na madem alafu mnaanza kuhadithiana ilivyokuwa.! sijui Aliando vile mara MariaClara hivi


#Ongezea zingine.

How old are u anyway??
 
mtoto wa kiume lazima adondoshe mkono wa sweta na akisikia mwizi,nyoka hatari yoyote awe wa kwanza kwenda kupambana sio wanatoka watoto,madem yeye anatetemeka.
 
Aiseeee JF raha sana........
Mtoto wa kiume hutakiwi kumechisha hovyo especially zile suruali za rangi ya njano, nyekundu, kijani, purple na raba zake, miwani, saa n.k. Pia haipendezi mtoto wa kiume kutafuna big G kwa nguvu domo lote analichezesha huku unajilamba lamba
 
Ivyo ni vitu minor sana mtu wangu..Kila mtu aishi maisha yake bhana..huwezi mlimit mtu asitumie maneno kama pliz,sorry au OMG..hamna jinsia hapo..mwanaume chapa kazi,jijenge,zalisha..thts ryt.. Sio unafata asemayo huyu jamaa afu umejifungia ndani
 
Mtoto wa kiume hupaswi kukimbia majukumu ya familia yako, jumuiya unayoishi, na jamii Kwa ujumla inayokuzingira. Na kamwe mtoto wa kiume afikirii au kutamani kurudi utotoni pindi apatapo shida.
 
Mtoto wa kiume hatakiwi kuwa na mwili laini laini. Piga chuma,kama uwezi shiriki katika michezo.
 
Back
Top Bottom