guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Ahahaahh,kweli aiseeMajambazi wakishinda watakuwa wanapromote ujambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaahh,kweli aiseeMajambazi wakishinda watakuwa wanapromote ujambazi
Mama Kubwa nahisi wewe ni wale watu ambao mkiangalia muvi ukiona mtu kajificha na jambazi anakuja unaanza kumuambia "wewe ondoka hapo unakuja kuuliwa..!!" 🤣🤣🤣🤣Yaani hapo huwa nachanganyikiwa natamani nimshtue. Ila muvi zinatuweza niliangalia bird box nililia kama mtoto.
Acha Tu yaani hakuna kitu kinaniuma kama adui anamsogelea MTU Mwema halafu MTU Mwema kajificha, napataga kihede utafikiri ni Jambo la kweli.Mama Kubwa nahisi wewe ni wale watu ambao mkiangalia muvi ukiona mtu kajificha na jambazi anakuja unaanza kumuambia "wewe ondoka hapo unakuja kuuliwa..!!" 🤣🤣🤣🤣
Kupigana juu ya treni inaweza fanyika live.
Kuweka bunduki kando na kupiga mkono pia inawezekana live.
Unaweza amini kama unaielewa sanaa ya mapigano na mkikutana wote wanaume kweli.
Pia kuchomoa nyaya kuungamisha na Gari kuwaka inawezekana live
Wanapromote ushoga. Kwani ushoga sawa na ujambaziVipi muvi za siku hizi wanapoweka karibu kila familia ina kijana ambae ni gay, hapo wana promote nini?
[emoji16][emoji16] wahindi ni nyo.ko...mtu anapigwa ngumi anatoka na ukutaHizi nazo ni wale wale tu mtu anaruka kutoka chini hadi ghorofa ya pili au anatembea kwenye ukuta kama mjusi hapo kuna ukweli gani? Ila bora hizi kuliko za wahindi [emoji23][emoji23]
Na hiyo chumvi ndio inafanya iitwe muviKurukia gari la taka tokea ghorofa ya 6
Wazungu hawadanganyi wanaigiza movie kiuhalisia Ila wanaongeza chumvi,
kuruka toka juu ya ghorofaWengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi za kizugu.
1. Bunduki kutokuisha risasi. Ushawahi ona kwenye muvi mtu ana ki bastola au SMG anamwaga risasi lisaa lizima na haziishi? Uongo mtupu.
2. Watu kupigana juu ya treni huku inatembea! Hiki ni kitu cha hovyo kabisa hata kukiwaza tu. Hata kupigana juu ya treni iliyosimama ni shughuli pevu achilia mbali inayotembea.
3. Bomu la kutegwa kupiga alarm kabla ya kulipuka. Wanajeshi wanaingia kwenye nyumba, hawajui kama kuna bomu. Mara wanasikia mlio pi pi pi pi pipipipipipi...Booom! [emoji38] saa hiyo wanakua wameshatoka nje.
4. Watu wema kushinda. Katika muvi karibu nyingi, wale watu wema hua wanashinda na watu wabaya wanauawa. Hii haina uhalisia wowote kwenye maisha ya kawaida.
5. Kuwasha gari kwa kuchomoa nyaya chini ya usukani na kuzigusanisha. Japo hii inawezekana, lakini ni ngumu mno kutekelezeka kiuhalisia. Hata fundi mwenye vifaa, inakuchukua muda mrefu sana kufanikisha hili.
6. Maadui kuweka bunduki chini ili wapigane ngumi [emoji23]
Hebu na wewe ongezea vitu vya kijinga ulivyowahi kuona kwenye movie
Kwenye movie unaweza kuruka kutoka ghorofa yoyote mradi tu chini kuwe na yale ma container ya takataka au swimming pool au kuwe na jengo lenye bati juu ambapo ukiangukia unaingia nazo mpaka ndani ila huumii popote 😀Kurukia gari la taka tokea ghorofa ya 6
Wazungu hawadanganyi wanaigiza movie kiuhalisia Ila wanaongeza chumvi,
Au hata jambazi akimpiga staa akaanguka hammalizii, anamuacha amelala hapo chini yeye anaendelea kuua watu wengine. Baada ya dakika chache staa ananyanyuka na kumuua jambazi 😆Jambazi na Staa wanawindana kwajili ya kuuana lakini jambazi anafika mpaka mahali alipo staa halafu anaua mtu mwingine tu kisha akitaka kuongeza shot nyingine ya kumshoot staa anashindwa eidha kwa staa kujificha kukwepa au kumuwahi yeye. Sasa huwa najiuliza hilo shambulio la kushtukiza si angelielekeza moja kwa moja kwa kumshoot star