Vituko kutoka kwenye Makanisa ya Kilokole -Tupia chako

Kumbe wanaenda kununua kwa mwamposa mm nikajua labda wananunua msikitini,, sio waislam hao, zuga tu ili wakuvutie kama wewe apo
Hawanunui Msikitini ndio, ila wewe jamaa unaonekana ni mtu uliyeifunga sana akili yako isione, kusikia ama kujifunza tofauti na mazoea yako.
 
Hawanunui Msikitini ndio, ila wewe jamaa unaonekana ni mtu uliyeifunga sana akili yako isione, kusikia ama kujifunza tofauti na mazoea yako.
Point yangu ni kwamba,, uongo wa kitoto msikitini hakuna kama, kuuza vitambaa,mafuta etc. We una uthibitisho gani kama hao wanaonunua maji kwa mwamposa waislam? Usiniambie majina.
 
Loooo shusho nae ana kanisa lake kaanzisha!! Ndio naisikia hapa ila sibishi.
Unamshangaa huyo?kama unamkumbuka Dada Dotinata aliyekua ktk mabendi ya muziki ya dansi maarufu ktk tv enzi zile nae ni mtume ana kanisa lake nasikia itakua pande za ukonga au mbele huko moshi bar
 
Unamshangaa huyo?kama unamkumbuka Dada Dotinata aliyekua ktk mabendi ya muziki ya dansi maarufu ktk tv enzi zile nae ni mtume ana kanisa lake nasikia itakua pande za ukonga au mbele huko moshi bar
Aisee nampata ana weupe flani hvi wa kujikoboa nae ni mtume!!!! Mungu atuhurumie.
 
Kuna lingine la kuwavua vyupi wamama! Kazi kweli kweli!
 
Yupo Shehe Majini mbona anauza sijui maji ya shajarat, Dini ni uzwazwa
 
Kanisa lingine wana fomu maalumu unajaza kueleza kipato na mali zote ulizo nazo kama ni kuku unao wangapi, kama ni mbuzi na kama ni msharahara unapokea kiasi gani na kama ni biashara ni mtaji wa kiasi gani na inaingiza shilingi ngapi kwa siku....lengo wakuopangie kiasi cha zaka unachopaswa kupeleka kila wiki na Kila mwezi...Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) Mungu anawaona
 

Waebrania 4:9​

'Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu.'

Kama wewe si mtu wa Mungu endelea kudharau sabato
 
Anauzia msikitini hayo maji yake? Au kwenye mkusanyiko wowote unaohusu ibada? Ikiwa hivyo sivyo huyo ni mganga kama waganga wengine na wala haiusiani na kinachojadiliwa hapa
Aache kujiita Shehe na mihadhara Yake ya uponyaji asiwatumie viongozi wa uislam na waislam. Stuka, Dini zote ni miradi ya watu
 
😹😹😹
 
Jumapili iliyopita tarehe 27.06.2021 alikuwa Temeke Kata 15, yalitolewa Maji ya Bluu na PILAU DAWA na wikendi hii sijui itakuwa wapi,,,,, na Shekhe yupo salama mpaka leo.....
 
Inakuaje watu wanatoa maelezo yote hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…