Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwaambia ukweli utaambiwa unamkufuru Mungu , na vifungu kazaa vya “ Ole Wake .....” utasomewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwaambia ukweli utaambiwa unamkufuru Mungu , na vifungu kazaa vya “ Ole Wake .....” utasomewa
Vipi kule zanzibar,wafuasi wa maalim seif nao ni wakristo wote?Acha uongo,,, aliyekuwa anatangaza hayo maji ni aliyekuwa mchungaji anaitwa kessy,, alikuwa akiwaonyesha watu jinsi gani mnavyopigwa. Huyo shekhe yahya tangu lini umesikia anauza maji acha fiksi bana, kwanza waislam hawadanganyiki kizembe na hilo unalitambua usijitoe ufaham, yani uote afu uwatangazie watu ww mtume 😄
Nyiii nanyi mnachanganya watu mara manzese tip top mara tabata tuamini lipi sasaKanisa lake lipo Tabata Kisiwani na mimi ndio mzee wa kanisa. Karibu sana jumapili hii.
Nilipewaga mualiko na mpangaji mwenzangu(mdada mlokole) kanisa I kwao(makongo ukipita ardhi)kuna seminar ya wanaume wote Tanzania!!!!
Nikamuuliza tutaenea wanaume wote?siku ilipowadia (jumamosi) nikajongea mpaka kanisani,nilipoingia ndani nikakuta nabii bado hajaingia kuanzia seminar.
Tukawa tunatangaziwa kuwa nabii haiwezi ingia mpaka wanaume wote muse mmevaa kofia(kapelo nyeupe ina picha ya njiwa) issue ikaja kwenye Bei!!!!
30,000/!!!!mfukoni nina 5000 ya sadaka nilinyanyuka nikatoka nikazuiwa kuwa seminar itaanza!nikajibu kuna wenzangu wamepitiliza makongo unaenda wafuata.....sikurudi Tena.
Kesho yake dada mpangaji ananiuliza kama nilienda nikajibu ndio.akasema muongo kaka nikamwambia kofia 30,000akaaema eeeh kweli ulienda,umenunua?
Nikajibu siwezi ninja kofia 30,000mwanangu lake njaa wadada wote uami waliang
Sasa apo umekuja kwenye siasa,, na hapa hatuzungumzii siasa. Huyo maalim seif lini ulisikia kaenda msikitini kawaambia waislam yeye kashukiwa na upako kwa hiyo wakapigane. Hao wanaomkubali yeye hamkubali kwa ajili ya dini yake ni sababu ya chama chake, ingekuwa hivyo kwa ajili ya dini basi zanzibar yote ingemkubali lkn kumbuka kuna vyama vingine kule na vina wafuasi wengi tu ni waislam vile vile.Vipi kule zanzibar,wafuasi wa maalim seif nao ni wakristo wote?
Wakishauawa yeye anaitwa kuunda serikali ya mseto,na hii imetokea mara mbili
hiyo imekaaje?
Hao wanaodaganywa kwenye siasa sio hao hao waendao msikitini?. Kama fix wanapigwa siasani vipi likitokea njemba msikitini hawatokwenda na maji?.Sasa apo umekuja kwenye siasa,, na hapa hatuzungumzii siasa. Huyo maalim seif lini ulisikia kaenda msikitini kawaambia waislam yeye kashukiwa na upako kwa hiyo wakapigane. Hao wanaomkubali yeye hamkubali kwa ajili ya dini yake ni sababu ya chama chake, ingekuwa hivyo kwa ajili ya dini basi zanzibar yote ingemkubali lkn kumbuka kuna vyama vingine kule na vina wafuasi wengi tu ni waislam vile vile.
Jaribu wewe siku moja nenda msikitini waambie mm nimeoteshwa nimeshukiwa na upako natoa maji ya baraka tena bure sio kwamba unauza kisha ulete mrejesho. Tatizo unashindwa kutofautisha dini na siasa,, mimi na wewe tunaweza kuwa dini tofauti lkn kwenye chama tupo pamoja, naweza nikakupigia kura wewe lkn yule wa dini yangu nisimpigie kwa sababu labda tunagombania mwanamke mmoja. Ila linapokuja suala la magumashi ndani ya msikiti lazima bakora zitembee. Msikitini hamna magumashi. We unayaonaje maisha ya muft mkuu wa waislam Tanzania nzima na maisha ya gwajizo foshizo😄 ambaye ye ni mtu mmoja tu kaanzisha kanisa lake ukitaka kujua huko kwenu kuna magumashi na upigaji wa kufa mtu.Hao wanaodaganywa kwenye siasa sio hao hao waendao msikitini?. Kama fix wanapigwa siasani vipi likitokea njemba msikitini hawatokwenda na maji?.
Mm nmeangalia mkuuNmegundua, wote waliochangia hili bandiko hawajasikiliza wala kuangakia Video iliyowekqa. Leo ndo nmeamini bando limepanda bei.
Kuna watu wakilisikiliza hiyo Video, watafuta Post zao. Wakurupukaji wanaitwa.
Hata mleta mada hajaaangalia Video yote. Ajabu
Mwamposa mimafutaVituko haviishi dunianiView attachment 1807719
SHARIFU MAJINI ANAUZA HADI MAFUTA NA HAMUMFANYI KITUSiku asimame shekhe msikitini aseme kaoteshwa na mungu kwa hiyo kuna maji ya upako anauza kikombe Jero, huyo shekhe kama akitoka salama humo msikitini sijui,,,, lkn upande huu pili sijui kwanini mnaongopewa kizembe, yani masanja nae mchungaji achilia mbali yule wa kuitwa nabii frola😄
Hahaaa kweli mkuuSasa wakiongea bila maiki nyie wa mitaani mtajuaje km wako ibadani?!
Mbalizi hukuMbeya sehemu gani mkuu
Mkuu....nimeishi sana mitaa hiyo...Mbalizi huku
Mbalizi 2 mkuuMkuu....nimeishi sana mitaa hiyo...
Ni kipande ipi???
Tarafani,
Tazara,
Mapelele(Bua)
DDC,
Mbalizi 1
Mbalizi 2
Shigamba,
Mtakuja,
ZZK,
Kabale,
Mwashiwawala,
Iwindi, au
Mlimareli
Nsalala
Ngoja nije tuongee vizuri
Mkuu hakuna taasisi inayoongoza kwa sasa kwa utapeli wa mahusiano na ndoa kama hawa wanaojiita watumishi. Haswa zaidi waliookoka ni matapeli wa mapenzi hata ukiwa nao kwenye. Mahusiano atakuambia uchumba ni mpaka mungu amuonyeshe kumbe ana mademu wengi huko kanisani wananyanduana kwa siri. Ni wazinzi balaa.ukitaka mahusiano safi yenyewe afya kaa mbali na watumishi. Wengi wao sio marafiki wazuri kwenye mahusiano wengi ni wagonjwa piaWakuu, ni dhahiri kuwa kuna makanisa yanaibuka sasa kama uyoga. Sioni shida kuibuka kwa makanisa kila kukicha, kwasababu hata baa mpya zinaibuka kila siku.
Pamoja na yote, haya makanisa kuna baadhi yana vituko sana, yaani Mtumishi anaweza kuwa Mtume, Nabii au Mchungaji lakini mambo wanayofanya ni vituko na ajabu! Cha kushangaza bado waumini wapo.
Nianze mimi.
1. Hichi kituko kinaendelea kutokea kanisa moja Arusha, mtumishi kaacha familia Dar, kaenda kutumika Arusha kapachika muumini mimba, mke Kaenda Arusha, kulalamikia kanisa kuwa amefunga ndoa na huyo mtumishi, kituko Kanisa linamtetea Mtumishi kuwa wao hawakujua kama ameoa. Hivyo ataendelea kutoa huduma kanisani, can you imagine!!
2. Jamaa yangu huyu kaanzisha kanisa lake, kapata waumini wakutosha! Kaoa mke November, February mwaka unaofuata mke anaondoka na kila kitu, kwa madai mume wake ni mzinzi, shutuma zinafika kanisani, waumini wanaungana na mchungaji wao kukemea 😂😂😂. hii ni Kilimanjaro.
3. Christina Shusho anaanzisha kanisa baada ya kutalakiana na Mume wake na ana waumini wakutosha. Ya kujifunza ni mengi hapa.
Tuendeleze vituko vingine....