Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaweza kuniambia kwa ushahidi mwanzilishi wa Kanisa Katoliki nje ya Yesu mwenyewe? Just a direct answer kama tunavyoweza kusema makanisa mengine yote!In short ukiwa kama ni Mkristo, unapaswa utambue hakuna kanisa ambalo halina mwanzilishi (mwanadamu mmoja au kikundi cha wanadamu) na hiyo ipo hivyo kwa kanisa kongwe au la sasa...
Hivyo kama kuna udhaifu wowote, hayo ni matokeo ya uwepo wa wanadamu kama viongozi au waumini...
Sisi wanadamu tumekuwa wepesi sana wa kuona watu wengine wasio na msimamo sawa na sisi kama wanakosea, aliye mlokole ataona asiye mlokole kapotea na kinyume chake pia...
Kama kuna mwanadamu wa imani yoyote aliye kamili kwa kila idara, basi na anyooshe kidole...
Na kama wewe ni Mkristo kweli (kwa kufuata maandiko), inasemwa huko kwamba mwenzako akipotoka wewe muombee arejee kwenye mstari na sio kuanza kumsimanga (usihangaike kutoa kibanzi kwa mwingine, ingali una boriti)
Lk 6:41-45 SUV
Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au, utawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu yangu, niache nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako. Kwa maana hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala mti mbaya uzaao matunda mazuri; kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake; maana, katika miiba hawachumi tini, wala katika michongoma hawachumi zabibu. Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walihama mji,huko walikokwenda sijui waliendeleajeWalimalizanaje hao Mme na mke au waliachana?
Yaani makanisa haya ni utoporo mtupu!! Mchungaji anaaminiwa kuliko kuliko hata Bible...huyo binti atakuwa alibakwa masikini mweeh!!Siwezi kanyaga kwenye hayo makanisa saizi imekuwa stile ya watu kujiajiri, kuna mchungaji mmoja alimchukua binti kanisani mbele ya waumini kutokana na binti huyo kuishi katika mazingira duni na alikuwa kafauru kwenda form one na hivyo alienda nae mjini akakaa nae wikend yote akamla na hata hizo uniforms hakununua taarifa baada ya kufika kanisani waumini wanasema kuna watu wana nia mbaya wanamchafua mchungaji, wakati hapo wanapoishi kinapatikana kila kitu kuna haja gani kumpandisha basi kwenye umbali mrefu eti kununua uniform wakati wanapoishi kuna kila kitu na kwanini hakuchaguliwa mwanamke mwenzie amsindikize.
Kanisa lake lipo Tabata Kisiwani na mimi ndio mzee wa kanisa. Karibu sana jumapili hii.Christina Shusho ana kanisa?
Aisee
[emoji3][emoji3] oyaa tuache aiseeKuna kanisa moja kijenge arusha waumini wakichelewa wanacharazwa viboko na pasta eti kutolewa mapepo.
Yesu alianzisha kanisa katoliki?Proof?Mkuu unaweza kuniambia kwa ushahidi mwanzilishi wa Kanisa Katoliki nje ya Yesu mwenyewe? Just a direct answer kama tunavyoweza kusema makanisa mengine yote!
Mtu mwingine yeyote anaweza kusaidia lakini isiwe hadithi tulizozoea iwe na utafiti binafsi ili tukiuliza maswali yajibiwe!
Pia naomba nitajiwe jina la Kanisa ambalo lilikuwepo kabla ya mwaka 1000 nje ya Kanisa Katoliki! Nitafurahi pia kujua kiongozi yeyote aliyekuwepo wakati huo.
Msikiti gani unauzwa mitishamba? Na shehe yupi anaesimama ndani ya msikiti kuwaambia waumini kaota kwa hiyo wanunue hiyo mitishashamba. Lkn tambua ya kwamba hata hiyo mitishamba ukikuta wanauza lkn si kwa kisingizio cha upako na wala si ndani ya msikiti, na kama ulivyosema mitishamba ni dawa iyo mbona inafahimika mfano muarobani,muarovera etc.Acha kujisahaulisha...
Mbona mnauza miti shamba huko misikitini?
Acha uongo,,, aliyekuwa anatangaza hayo maji ni aliyekuwa mchungaji anaitwa kessy,, alikuwa akiwaonyesha watu jinsi gani mnavyopigwa. Huyo shekhe yahya tangu lini umesikia anauza maji acha fiksi bana, kwanza waislam hawadanganyiki kizembe na hilo unalitambua usijitoe ufaham, yani uote afu uwatangazie watu ww mtume 😄Mbona shehe yahaya majini anauza vichupa vya maji ya baraka kutoka uarabuni.
Siku hiyo ndio niligundua kuna mashehe hama mitume na manabii. Vimaji vinanguvu maana alipofungua kamoja tu uwanja mzima wanawake wakalipuka mapepo.