Kwa nini uliconclude ni pepo na sio roho mtakatifu?Mchungaji alipokua akiomba nilishuhudia muumini mmoja ninaemjua akiongea kiingereza fasaha wakati namjua kabisa hajuagi kiingereza.
Maana yake pepo la kizungu lilipanda.hii sio chai Ni kweli kabisa.
Live hii mkuu,yule baba alikuwa na hasira kweli ile siku,alishaongea na mkewe kachoka ,yule baba alishamwambia mkewe awe anaenda kanisani siku tatu tu za wiki jumapili,jumatano,na ijumaa hataki,mwanamke alikuwa yuko radhi kutalikiana na mumewe kuliko kuacha kwenda kanisani,na yule baba alikuwa hataki kuachana na yule mwanamke![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii mbona km chai mkuu
Kanisani lake lipo manzese tip top,.Mh! Hii ya shusho Ni ya kweli?!
Huyu si alikuwaga mwenye mpakani imekuwaje tena kimara?Na mwingine yuko hapo Kimara anajiita Musa huyo ni noma balaa
Na weee ukaamini kabisa?Mbona shehe yahaya majini anauza vichupa vya maji ya baraka kutoka uarabuni.
Siku hiyo ndio niligundua kuna mashehe hama mitume na manabii. Vimaji vinanguvu maana alipofungua kamoja tu uwanja mzima wanawake wakalipuka mapepo.
Ebwana lile kanisa lina mademu wakali hatari aisee. Wajuba wengi wanaenda kwa ajili ya kun'goa tuu.Hilo tukio la namba; moja ni kanisa liko kambi ya chupa hapo.
ππndiyo napigwa butwaaChristina Shusho ana kanisa?
Aisee
NmeshangaaChristina Shusho ana kanisa?
Aisee
Makelele ni sababu moja wapo iliyonifanya nisivutiwe na haya makanisa, ibada zaidi ya masaa 6 ukitoka hapo kichwa kinauma.Katika juhudi zangu za kutafuta kanisa mkoa fulani, niliwahi ingia kanisa moja dogo tu ila wamefunga maspika hayo hatari.
Kulikuwa na muhubiri mmoja anaongea kiingereza na mwingine anatafsiri kwa kiswahili. Sasa kwenye mahubiri mtafsiri hajamaliza kutafsiri muhubiri kashaongea jingine full kelele halafu waumini wanashangilia balaa.
Muda wa maombi sasa ,Mhubiri anaomba kwa kutumia mike hizo kelele sasa si unajua maombi ya walokole, ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kukanyaga pale.
Mbeya sehemu gani mkuuSasa huku mbeya , kuna familia imeanzisha kanisa lao wenyewe yan wamejenga kanisa kubwaaaa hatari ingawa wameezeka nusu afu idadi nadhani hawafiki hata kumi na tano lkn wamefunga maspika makubwa yan humo ndani no kelele tu sasa najiuliza c waongee tu bil mic maana wamekaa mabenchi mawili tu
ππππ mambo ya iman yataka moyoKuna kanisa moja kijenge arusha waumini wakichelewa wanacharazwa viboko na pasta eti kutolewa mapepo.