Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nakumbuka mwaka 2009 nilienda kufanya interviewe kwa ajili ya kujiunga na jeshi la magereza, basi bwana mtoto wa bwana jela alikuwa anaitwa tobby sasa sijui tobby alipoenda kula chakula cha mchana akapitiwa na usingizi?[emoji848][emoji848][emoji848] Interview haikufanyika mpaka mtoto tobby alipopatikana.
 
Ubinadamu kazi sana
Wangekuwa wanaacha kusumbua watu,unakuta mtu ameazima nauli au kapewa na mama yake maskini ili akomboe familia matokeo ni kuwa anaona kabisa wanaopewa kazi ni wale ambao hata usaili hawakufanya,inauma sana.
 
Kwa nini unakuguliwa tigo kwa hiyo kazi??
Mmoja wa delinquent member wa JF ni wewe, soma tena uelewe wapi nimeandika hayo uliyoyaandika?,mpumbavu na I can't help labda ungekua mjinga ningekuelewesha,uchunguzi wa tigo ni mmoja ya vigezo kabla hujapita kuwa jet fighter pilot cadet
 
Serikali iingilie kati kudhibiti huu ujinga wa kupotezea watu muda.
Ni wiki Tatu zilizopita niliitwa kwenye Interview KCB BANK MAKAO MAKUU DAR nafasi ya CORPORATE AFFAIRS MANAGER,kufika pale tupo Wasailiwa 12 na mmoja yeye anafanyia Usaili akiwa Mwanza(huyu ni staff wa KCB BANK MWANZA)!!![emoji1787]na katika 11 tulio Dar Wasailiwa wawili nao wadada ni wa palepale ndani KCB BANK Maka Makuu[emoji1787]Usaili tuliambiwa saa 8 mchana lakini ukaanza saa 10 jioni(ilikuwa ni Written Interview).Yaani tangu tumefika pale wale wadada(wa HR na Head wa Communications)wakawa wanajizungushazungusha weeee nikajua tu hapa USANII unachezwa!!!kuja kuleta hiko ki-swali Chao chenyewe eti (I)WHAT IS EVENT PLANNING??(II)PROCEDURES ZA EVENT PLANNING(III) EXPLAIN SHORTY ON THOSE PROCEDUCES OF EVENT PLANNING??
yaani ni ki-swali ambacho nilikijibu ndani ya dakika 10 japo wao walisema dakika 30!!!juzi napokea Email kutoka kwa huyo Dada HR anaitwa MONDE LUSHAKO eti nilipata below PASS MARK hivyo sijachaguliwa kwa Oral nilicheka mpaka nikapaliwa na Wine yangu!! [emoji1787][emoji1787] yaani ni wasanii walikuwa na mtu wao wahuni wale[emoji1787][emoji1787]na mimi nina uhakika kile ki-swali chao nilikipata chote 100 kwa 100!!nilimjibu kwenye Email yake kwamba WAMUOGOPE MUNGU na waache tabia ya kusumbua watu waje kwenye Interview wakati nafasi tayari wana mtu wao!!!hebu imagine wengine mpo Dar mnafanya Interview na mwingine(staff wa ndani KCB Bank humohumo) anafanyia Usaili akiwa Mwanza peke yake [emoji1787][emoji1787]na kwa tuliofanyia Dar tulifanya pia na wadada wawili wa palepale KCB BANK tena wakiwa na Uniform za KCB [emoji1787][emoji1787]Nchi ngumu sana hii
 
Niliwahi kuhudhuria interview moja miaka ya nyuma. Sasa nilipofika eneo la interview nilibahatika kubaini ya kwamba kuna watu tayari walishachaguliwa.

Sisi kumbe ilikuwa ni danganya toto. Nilishikwa na hasira sana.
Zamu yangu ilipofika nikaitwa kwenye panel kwa ajili ya kuulizwa maswali.

Baada ya utambulisho niliwachana live wale panelist. Niliwaambia hv nakumbuka "Samahani ndugu zangu nimekuja kimakosa hapa sikupaswa kuwepo kwasababu tayari mna watu wenu mifukoni" kisha nikatoka kwa speed. Kugeuka nyuma nikaona kuna karani amekaza mwendo kunifuata akiniita nikakaza mwendo nikapotelea kuaikojilikana mpaka leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi sina cv ,sina sponsor ila namshukuru mwenyezi mungu yaani kila interview niliyowahi kufanya nilichaguliwa...

Nilishafanya interview kama tatu na kuna baadhi ya interview sikuwa na sifa kabisa ila inatokea tu wamenipitisha.


Sina mengi zaidi ya kumshukuru sana mungu muweza wa yote.
 
Hizo koz
Pilot
Aircraft engineer
Marine and nautical engineer
Drilling Engineer
Well completion engineer
Fishing engineer
Mining Engineer
Robotic and Automation engineer.
Cyber security expert.
Software developer.
Artificial Intelligence expert.
Reliability and Mechanical Engineer.
ROV operator.
Automation engineer.
Instrumentatio engineer
Electric Engineer.
Mechanical Engineer.
Civil Engineer
nk, nk, nk.

Taifa halitoi direction kwa vijana wasome nini, matokeo yake vijana huishia kutia huruma na kunyenyekea wapumbavu.
Mkuu hizo kozi zote ni konki Wala zisikukatishe tamaa, Dunia ndiko inakoelekea lazima tuu zitahitajika siku za mbeleni. Infact ni kwa kuwa serikali yetu inajitoa ufahamu lakini uhai wa Dunia unategemea hao wasomi hapo juu.
 
Hizo koz
Pilot
Aircraft engineer
Marine and nautical engineer
Drilling Engineer
Well completion engineer
Fishing engineer
Mining Engineer
Robotic and Automation engineer.
Cyber security expert.
Software developer.
Artificial Intelligence expert.
Reliability and Mechanical Engineer.
ROV operator.
Automation engineer.
Instrumentatio engineer
Electric Engineer.
Mechanical Engineer.
Civil Engineer
nk, nk, nk.

Taifa halitoi direction kwa vijana wasome nini, matokeo yake vijana huishia kutia huruma na kunyenyekea wapumbavu.
Mkuu hizo kozi zote ni konki Wala zisikukatishe tamaa, Dunia ndiko inakoelekea lazima tuu zitahitajika siku za mbeleni. Infact ni kwa kuwa serikali yetu inajitoa ufahamu lakini uhai wa Dunia unategemea hao wasomi hapo juu.
 
Mimi nakumbuka mwaka 2009 nilienda kufanya interviewe kwa ajili ya kujiunga na jeshi la magereza, basi bwana mtoto wa bwana jela alikuwa anaitwa tobby sasa sijui tobby alipoenda kula chakula cha mchana akapitiwa na usingizi?[emoji848][emoji848][emoji848] Interview haikufanyika mpaka mtoto tobby alipopatikana.
Aiseee
 
Kwa uzoefu wangu katika saili nyingi ambazo nimesaili vijana, Taifa hili tuna changamoto kubwa sana ya uelewa wa mambo unakuta mtu kasoma special school na ana Bachelor ya Computer Engineering unamuuliza swali what is Operating System anabaki anashangaa akitoka njee anasema wana watu wao, Binafsi nimeapa nilipata kazi kwa haki na nitatenda haki siku zote japo majaribu ni Mengi na Mikuki ni Mingi, ila kuna vijana wana ufaulu mzuri ila interview wanachemka sana, sikatai uwepo wa upendeleo katika baadhi ya taasisi mbalimbali lakini rai yangu kwa vijana fanya maandalizi vizuri kafanye usaili notion za kusingizia watu wamepangwa achana nazo.

Sent from my SM-N950N using JamiiForums mobile app
Mkuu Mimi huwa namini katika masuala ya tehama huwa hakuna watu wao wala upendeleo.......

Mara nyingi sana katika tehama wanaofuzu usahili huwa kweli wamestahili kufuzu

Na Mara nyingi katika tehama hata tukisema tujaalie basi ni kweli mtu kabebwa huwa bado ana uwezo

Watehama wasaili ni ngumu sana kumchukua asiejua na kumuacha ajuae

Kwenye kada ya tehama baadhi ya vitengo ni ngumu sana kumchukua asiejua maana yaweza leta hasara kubwa sana....

Hivyo kwa wanaoenda kwenye saili za tehama basi ondoa notion kuwa wana watu wao(yes perfection does not exist but wanajitahidi)
 
interview yangu ya kwanza ilikua kwenye NGO , tulikua watu watano na walitaka watu watatu, nilikua najuana na watu watatu kati ya hao tano, na ndo tuliopita after 3 days tukapewa hadi job offer letters, wakasema watatuambia lini tukareport kazini, tulikaa miezi na miezi tukajasikia tu mbona watu washaanza kazi kitambo na hawakuepo hata kwenye interview , kazi tulioifanyia sisi interview ikaishiwa kufanywa na watu ambao hawakuepo kabisa. [emoji706][emoji706]

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Hii ndio bongo mzee baba😂😂😂 sehemu ambayo yanafanyika mambo magumu hata kufikirika tu bila aibu.
 
Hiyo mikozi ya kibabe sanaa. Masikin akisoma hizi bado atasota tu.. Labda awe genius
Kwangu mimi nadhani kitu ambacho kama nchi kingeweza kutukwamua ni kilimo. Tuna kila nyenzo ya kutuwezesha kuilisha dunia, tena kwa product zenye ubora wa hali ya juu. Tumekosa tu uongozo wenye maono na dhamira.
 
Back
Top Bottom