Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Miaka 10 iliyopita nilifanya interview TANROAD Kili, baada ya interview one of the panelist alinijulisha kwa simu kuwa nimepita lakini ningepigiwa simu na wahusika ili uje uanze kazi.

Nilivyokuja kufuatilia nikaambiwa kuna vidada vilikuwa field 3 yrs pale ndio wamechukuliwa na infact tulikuwa nao siku ya interview.
Same story back in 2014 kwenye sehemu moja nyeti serikalini.

Nilipigwa tiktaka ya kufa mmasai wakachukuliwa watoto hata vyeti hawana wameenda na transcript tu na tangazo lilisema halihitaji trans wala statement of result.
 
Mimi nakumbuka mwaka 2009 nilienda kufanya interviewe kwa ajili ya kujiunga na jeshi la magereza, basi bwana mtoto wa bwana jela alikuwa anaitwa tobby sasa sijui tobby alipoenda kula chakula cha mchana akapitiwa na usingizi?[emoji848][emoji848][emoji848] Interview haikufanyika mpaka mtoto tobby alipopatikana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Same story back in 2014 kwenye sehemu moja nyeti serikalini.

Nilipigwa tiktaka ya kufa mmasai wakachukuliwa watoto hata vyeti hawana wameenda na transcript tu na tangazo lilisema halihitaji trans wala statement of result.
Haya mambo yapo sana kwenye taasisi huju
 
mtoa mada umenikumbusha dogo wangu wa kitaa Martin tangazi alivyofanyiwa na TFF..hii nchi ni ngumu sana kama mnakumbuka miaka ya uko nyuma kuanzia 2011 kulikuwa na mashindano ya Airtel rising star wanatafutwa vijana wenye vipaji then wanapelekwa Qatar kwenye Academy ya mpira wakachaguliwa watu kutoka kwenye shule mbalimbali za sekondary alafu ukafanyika mchujo bahati nzuri uwo mchujo aliyekuwa anausimamia ni mzungu kutoka Spain ukapigwa mchujo dogo akapità wakapelekwa karume wakaungana na wengine ili upigwe mchujo wa mwisho kitaifa then waliyopita moja kwa moja Qatar basi dogo kama bahat napo pale akatoboa wakawa wamechaguliwa watu kama 10 ndio waliofuzu wanaenda Qatar dogo akaanza kufuatlia mambo ya pasport kila kitu kikawa sawa sasa siku ya kuondoka waliambiwa wote waliochaguliwa wafike makao makuu ya TFF asubuhi saa1 dogo saa 12 tayari alishafika muda ulipofika wakawa wanaitwa majina then wanaingia kwenye coaster la TFF moja kwa moja Airport dogo anashangaa majina yameisha alafu yeye ajasikia jina lake akauliza mimi sijasikia jina langu na kwenye mchujo nilipita wakamuuliza unaitwa nani akawajibu akaambiwa mbona Martin tangazi yupo ndani ya gari tayari akajaribu kuwaelewesha wapi kumbe nafasi yake walimpachika dogo mmoja mtoto wa kiongozi wa TFF gari likasepa wakampa nauli elf10 ya kurudia home haki ya mtu ailiwi niliamini siku ile kufika Airport wakakutana na ile crew ya yule mhispania wametoka hotelini tayari kwa kuanza safari kama zari yule mzungu akaingia ndani ya gari kuhakikisha wale aliowachagua kama ndio wenyewe yule mzungu ile kuwatazama wote akawaambia wale viongozi wa msafara kuna mtu mmoja ayupo apa sijamuona wakauliza nani uyo akawaambia martin ayupo apa kumbe yule mzungu alishamkubali dogo akawaambia apa atuondoki bila uyu mtu kuletwa apa dohh kwa aibu tumekaa kitaa tunasikia bi mkubwa wake anakuja na simu kumpa martin yule kiongozi alimwambia beba vitu vyako faster njoo airport kilichobaki ni historia dogo now ameshachukua na uraia wa Qatar kabisa
Si ajabu huyo kiongozi wa tff bado yupo kwenye system ya mpira na bado kwa unafiki anaongelea maendeleo ya mpira wa miguu
 
Nani kakudanganya au kukuaminisha mkuu? Kwa taarifa yako tupo wengi Sana humu ndani wenye Dani hizo[emoji115] na bado tupo tu mtaani. Mpaka Kuna Uzi mmoja kule jukwaa la kazi na ajira unahusu kupeana koneksheni kwa fani za engineering na kila mtu analia mkuu.
Mnatafuta kazi ndani ya nchi pekee au hata nje ya nchi? Hebu Ingia google careers, Facebook careers, Unilever Career uangalie. Hao ndio Client wangu na ninajua ninachosema. Kama kazi ni Tanzania pekee basi endeleeni kubanana. Amka, panua wigo wako wa kutafuta kazi. Zipo nyingi tu, usikate tamaa.
 
Nikiwaambia jpm alinyoosha nchi mnanitukana ooh mi mshamba oh what what.

Siku nilipokoma kwenda interview ilikuwa hivi.

Hr alinipigia akaniambia nijiandae kesho ni interview.
Huyo nikafika .siku hiyo sikulala nilisoma hadi asubuhi.
Kufika nikakuta interviews wako 8, watu wakaingia weeee na mimi nikaingia jumla tulikuwa 15 kumbe anatakiwa mmoja tu.
Basi wakaniuliza weee nikajibu mpaka natoka nilikuwa na %90 nimejibu sahihi.

Basi wakati wa kuondoka hr akaniita akanambia , luckyline najua umetoka chuo, hujafanya interview nyingi, nilikuita upate uzoefu ili siku nyingine ukiitwa sehem uweze kuwa na uzoefu zaidi.

Akaniambia nilikuita kwa sababu hauko mbali, nauli buku.kiukweli hutopata hii kazi atapata yule binti mlofatana ni mtoto wa one of the directors, ingawa umejibu vizuri ila ndo hivo.samahahi kukusumbua najua umejifunza kitu. nilikereeeeka mpaka basi.tangu siku hiyo sikuwahi kuomba kazi tena.

Jpm alivyoingia vyeti feki wakakaa chini. Si ndo sisi wenye vyeti vyetu vilivyonyooka tukaanza kuwa na thamani.?

2019 hapa ilikuwa ni cheti tu hakuna connection wala nini. 2019 nikapa kazi nilokuwa nataka, juzi nikaomba tena mule mule, cheti chako ndo dhamana yako nimepata tena.hii ndo kazi niliitamani hata kuliko ya kwanza.
Kazi inayotaka vyeti na ufaulu wa interview ndo kazi.
Ati wanaita watu elfu 2 kumbe wanataka 20 kweli? Upuuzi.

Makarani wa sensa mpoo?[emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa mwalimu
 
Sawa mwalimu
Dah umenikumbusha mbali nishawahigi kuwa mwalimu.ila hii kazi ya ualimu watu wanaiwezaje? Siku naacha kazi hata sikuaga.nilikuwa nachukia hii kazi kuliko kitu chochote. Kazi unabanwa saa moja kali uwe kazini na usaini kitabu dah. Eti likizo nabaki shuleni hata kama hakuna wanafunzi kha!

Ualimu ni wito.

Napenda uhuru muda huu saa 6 mchana ndo naingia ofisin nitatoka muda ninaoutaka hakuna wa kuniuliza nilipo.asante mungu niliacha ualimu.
 
mtoa mada umenikumbusha dogo wangu wa kitaa Martin tangazi alivyofanyiwa na TFF..hii nchi ni ngumu sana kama mnakumbuka miaka ya uko nyuma kuanzia 2011 kulikuwa na mashindano ya Airtel rising star wanatafutwa vijana wenye vipaji then wanapelekwa Qatar kwenye Academy ya mpira wakachaguliwa watu kutoka kwenye shule mbalimbali za sekondary alafu ukafanyika mchujo bahati nzuri uwo mchujo aliyekuwa anausimamia ni mzungu kutoka Spain ukapigwa mchujo dogo akapità wakapelekwa karume wakaungana na wengine ili upigwe mchujo wa mwisho kitaifa then waliyopita moja kwa moja Qatar basi dogo kama bahat napo pale akatoboa wakawa wamechaguliwa watu kama 10 ndio waliofuzu wanaenda Qatar dogo akaanza kufuatlia mambo ya pasport kila kitu kikawa sawa sasa siku ya kuondoka waliambiwa wote waliochaguliwa wafike makao makuu ya TFF asubuhi saa1 dogo saa 12 tayari alishafika muda ulipofika wakawa wanaitwa majina then wanaingia kwenye coaster la TFF moja kwa moja Airport dogo anashangaa majina yameisha alafu yeye ajasikia jina lake akauliza mimi sijasikia jina langu na kwenye mchujo nilipita wakamuuliza unaitwa nani akawajibu akaambiwa mbona Martin tangazi yupo ndani ya gari tayari akajaribu kuwaelewesha wapi kumbe nafasi yake walimpachika dogo mmoja mtoto wa kiongozi wa TFF gari likasepa wakampa nauli elf10 ya kurudia home haki ya mtu ailiwi niliamini siku ile kufika Airport wakakutana na ile crew ya yule mhispania wametoka hotelini tayari kwa kuanza safari kama zari yule mzungu akaingia ndani ya gari kuhakikisha wale aliowachagua kama ndio wenyewe yule mzungu ile kuwatazama wote akawaambia wale viongozi wa msafara kuna mtu mmoja ayupo apa sijamuona wakauliza nani uyo akawaambia martin ayupo apa kumbe yule mzungu alishamkubali dogo akawaambia apa atuondoki bila uyu mtu kuletwa apa dohh kwa aibu tumekaa kitaa tunasikia bi mkubwa wake anakuja na simu kumpa martin yule kiongozi alimwambia beba vitu vyako faster njoo airport kilichobaki ni historia dogo now ameshachukua na uraia wa Qatar kabisa
Me ndio maana naamini mpira Tanzania tutaishia kuwa wasenge tu... Hawa viongoz wa mpira kuanzia ngazi ya wilaya mkoa na taifa ni wasenge tu... Miaka 8 iliyopita niliwah kusimamia michezo mkoa Dodoma, nikawaambia viongozi wenzangu tuweke uzalendo mbele tuchague wachezaj watoto watakao tuwakilisha vzuri kitaifa. Wenzangu hawakunielewa wakachagua wachezaj wa team zao ambao hawana vipaji, mimi ktk team yangu walichaguliwa wachezaj 3 na walikua wana vipaji sana,
Pilot
Aircraft engineer
Marine and nautical engineer
Drilling Engineer
Well completion engineer
Fishing engineer
Mining Engineer
Robotic and Automation engineer.
Cyber security expert.
Software developer.
Artificial Intelligence expert.
Reliability and Mechanical Engineer.
ROV operator.
Automation engineer.
Instrumentatio engineer
Electric Engineer.
Mechanical Engineer.
Civil Engineer
nk, nk, nk.

Taifa halitoi direction kwa vijana wasome nini, matokeo yake vijana huishia kutia huruma na kunyenyekea wapumbavu.
😅😂 Embu acheni kudanganya vijana... Ktk hizo fani ulizotaja ukitoa PILOT na AIRCRAFT ENGINEER (ambao na wenyew kwasasa kazi so uhakika 💯), hao wengine wote wapo mtaani wanasubiri connection ya kazi...
 
Mimi nakumbuka kuna mwaka niliitwa kwenye interview kwenye kampuni moja hivi hapo Dsm. Nakumbuka tulikuwa wengi sana.
Ilipofika zamu yangu kuitwa kwenye chumba cha interview niliwakuta watu 6 hivi. Sasa nikahojiwa maswali nikayajibu kama inavotakiwa, chakushangaza nikaambiwa na HR wa pale nimepita direct kwahiyo niache contacts then watanicheki.
Toka siku ile sikupigiwa simu
Iliniuma sana.😢😢
 
mtoa mada umenikumbusha dogo wangu wa kitaa Martin tangazi alivyofanyiwa na TFF..hii nchi ni ngumu sana kama mnakumbuka miaka ya uko nyuma kuanzia 2011 kulikuwa na mashindano ya Airtel rising star wanatafutwa vijana wenye vipaji then wanapelekwa Qatar kwenye Academy ya mpira wakachaguliwa watu kutoka kwenye shule mbalimbali za sekondary alafu ukafanyika mchujo bahati nzuri uwo mchujo aliyekuwa anausimamia ni mzungu kutoka Spain ukapigwa mchujo dogo akapità wakapelekwa karume wakaungana na wengine ili upigwe mchujo wa mwisho kitaifa then waliyopita moja kwa moja Qatar basi dogo kama bahat napo pale akatoboa wakawa wamechaguliwa watu kama 10 ndio waliofuzu wanaenda Qatar dogo akaanza kufuatlia mambo ya pasport kila kitu kikawa sawa sasa siku ya kuondoka waliambiwa wote waliochaguliwa wafike makao makuu ya TFF asubuhi saa1 dogo saa 12 tayari alishafika muda ulipofika wakawa wanaitwa majina then wanaingia kwenye coaster la TFF moja kwa moja Airport dogo anashangaa majina yameisha alafu yeye ajasikia jina lake akauliza mimi sijasikia jina langu na kwenye mchujo nilipita wakamuuliza unaitwa nani akawajibu akaambiwa mbona Martin tangazi yupo ndani ya gari tayari akajaribu kuwaelewesha wapi kumbe nafasi yake walimpachika dogo mmoja mtoto wa kiongozi wa TFF gari likasepa wakampa nauli elf10 ya kurudia home haki ya mtu ailiwi niliamini siku ile kufika Airport wakakutana na ile crew ya yule mhispania wametoka hotelini tayari kwa kuanza safari kama zari yule mzungu akaingia ndani ya gari kuhakikisha wale aliowachagua kama ndio wenyewe yule mzungu ile kuwatazama wote akawaambia wale viongozi wa msafara kuna mtu mmoja ayupo apa sijamuona wakauliza nani uyo akawaambia martin ayupo apa kumbe yule mzungu alishamkubali dogo akawaambia apa atuondoki bila uyu mtu kuletwa apa dohh kwa aibu tumekaa kitaa tunasikia bi mkubwa wake anakuja na simu kumpa martin yule kiongozi alimwambia beba vitu vyako faster njoo airport kilichobaki ni historia dogo now ameshachukua na uraia wa Qatar kabisa
Bongo nyoso
 
Nilienda kwenye Interview Shirika la umeme Makao makuu ya nchi,tukafanya interview ya kwanza nikapita kisha ya pili.Nikakosa basi kiroho safi nikawa nimetulia tu,siku moja nikakutana na mmoja ya watu tuliokuwa naye katika usahili wa mwisho.Akanichana ukweli kuwa pale mimi ilikuwa wa kuzugia tu,wale wenzangu wote pamoja na yeye walikuwa watoto na ndugu wa mameneja kutokea mikoa na wilaya nyingine hivyo pale wote walikuwa wana kazi mimi tu ndo nilikuwa msoteaji.Kuanzia hapo nikaanza biashara,mashirika yana wenyewe haya.
 
Huku makanisani ndio hasa wachawi wanapojificha kwenye chaka la UKRISTO.

Unaweza kukuta ASKOFU MCHAWI NA AMEVAA JIMSALABA KUBWA.
Kuna mchungaji mmoja rafiki yangu anasalisha moja ya madhehebu makubwa nchini aliwahi kuniambia kuwa yeye na askofu hawaendi sawa kwakua huyo askofu huwa anataka apewe milioni mbili kila mwezi kutoka kwa wachungaji utajua pakuzipata na asiyepeleka hiyo pesa anahamishiwa kanisa la kijijini huko ambalo sadaka y jumapili haifiki hata elfu hamsini misa zote ila ukiwa unapeleka hela kwa askofu unapangiwa parish ya mjini na kanisa lenye washua
 
Kuna mchungaji mmoja rafiki yangu anasalisha moja ya madhehebu makubwa nchini aliwahi kuniambia kuwa yeye na askofu hawaendi sawa kwakua huyo askofu huwa anataka apewe milioni mbili kila mwezi kutoka kwa wachungaji utajua pakuzipata na asiyepeleka hiyo pesa anahamishiwa kanisa la kijijini huko ambalo sadaka y jumapili haifiki hata elfu hamsini misa zote ila ukiwa unapeleka hela kwa askofu unapangiwa parish ya mjini na kanisa lenye washua
Duu,hii ni hatari sana,mtu hayupo kiroho ni mwendo wa ngawira tu.
 
Nilienda kwenye Interview Shirika la umeme Makao makuu ya nchi,tukafanya interview ya kwanza nikapita kisha ya pili.Nikakosa basi kiroho safi nikawa nimetulia tu,siku moja nikakutana na mmoja ya watu tuliokuwa naye katika usahili wa mwisho.Akanichana ukweli kuwa pale mimi ilikuwa wa kuzugia tu,wale wenzangu wote pamoja na yeye walikuwa watoto na ndugu wa mameneja kutokea mikoa na wilaya nyingine hivyo pale wote walikuwa wana kazi mimi tu ndo nilikuwa msoteaji.Kuanzia hapo nikaanza biashara,mashirika yana wenyewe haya.
🤣🤣🤣🤣Duu! Unajieleza wanakuchora tu,moyoni wanacheeeka.Maisha haya we acha tu.
 
Mimi nakumbuka kuna mwaka niliitwa kwenye interview kwenye kampuni moja hivi hapo Dsm. Nakumbuka tulikuwa wengi sana.
Ilipofika zamu yangu kuitwa kwenye chumba cha interview niliwakuta watu 6 hivi. Sasa nikahojiwa maswali nikayajibu kama inavotakiwa, chakushangaza nikaambiwa na HR wa pale nimepita direct kwahiyo niache contacts then watanicheki.
Toka siku ile sikupigiwa simu
Iliniuma sana.😢😢
Ndio maneno yao hayo,ukiambiwa tutakuita ujue imetoka.
 
Mwaka niliomaliza chuo nilikaa mtaani miezi miwili nikaitwa kufanya usaili kwenye taasisi flani ya serikali. Walikuwa wanahitaji mdada mmoja kuziba pengo la mtu aliyestaafu.

Kwenye usaili tulikuwa wadada watatu. Mmoja kati yetu alikuwa yupo pale pale anajitolea kwa miezi kadhaa iliyopita.

Baada ya siku 3 nikapigiwa simu naambiwa mimi ni Mkurugenzi wa hapa ulipofanyia usaili. Napenda kukupa hongera kwa ufaulu mzuri lakini tumeona tumchukue yule dada anaejitolea hapa asije akajisikia vibaya...
Sasa kulikuwa na haja gani ya kupiga simu,kama sio usumbufu tu.
 
Nikiwaambia jpm alinyoosha nchi mnanitukana ooh mi mshamba oh what what.

Siku nilipokoma kwenda interview ilikuwa hivi.

Hr alinipigia akaniambia nijiandae kesho ni interview.
Huyo nikafika .siku hiyo sikulala nilisoma hadi asubuhi.
Kufika nikakuta interviews wako 8, watu wakaingia weeee na mimi nikaingia jumla tulikuwa 15 kumbe anatakiwa mmoja tu.
Basi wakaniuliza weee nikajibu mpaka natoka nilikuwa na %90 nimejibu sahihi.

Basi wakati wa kuondoka hr akaniita akanambia , luckyline najua umetoka chuo, hujafanya interview nyingi, nilikuita upate uzoefu ili siku nyingine ukiitwa sehem uweze kuwa na uzoefu zaidi.

Akaniambia nilikuita kwa sababu hauko mbali, nauli buku.kiukweli hutopata hii kazi atapata yule binti mlofatana ni mtoto wa one of the directors, ingawa umejibu vizuri ila ndo hivo.samahahi kukusumbua najua umejifunza kitu. nilikereeeeka mpaka basi.tangu siku hiyo sikuwahi kuomba kazi tena.

Jpm alivyoingia vyeti feki wakakaa chini. Si ndo sisi wenye vyeti vyetu vilivyonyooka tukaanza kuwa na thamani.?

2019 hapa ilikuwa ni cheti tu hakuna connection wala nini. 2019 nikapa kazi nilokuwa nataka, juzi nikaomba tena mule mule, cheti chako ndo dhamana yako nimepata tena.hii ndo kazi niliitamani hata kuliko ya kwanza.
Kazi inayotaka vyeti na ufaulu wa interview ndo kazi.
Ati wanaita watu elfu 2 kumbe wanataka 20 kweli? Upuuzi.

Makarani wa sensa mpoo?😀😀😀
Aisee!hii ni hatari.
 
Back
Top Bottom