Mangapi alishafariki kitambo tuWapi DJ Manga P?Alikuwa anatuburudisha pale Masai kipindi hiko Hakuna Club bali kuna vyumba vya kulala wageni na Bar halafu Manga P anakuja kila Alhamisi au Ijumaa kutuburudisha na oldies za 80s. Hii ndio ilianza kuvutia wateja hadi Club ikaanzishwa.
Kipindi hiko hapo opposite kuna kibanda choka mbaya ila kina michipsi na mishikaki mitamu na bei ya kutupa ukichanganya na miguu ya kuku.
Prof Vulata alishafarikiNimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Ila maneno yanaleta burdani!!Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo
Ahhahaa leo nilipita mara moja AWe kwetu huwa unakuja kutembelea misiba tu..?! Njoo na siku za kawaida bana..
Padri Mcharo kumbe nawe wa hukoMazee...
Kuna ile Guest House iko mkabala na uwanja wa Mwananyamala B kama unatokea zilipo Ofisi za CHADEMA kwa sasa (Masana Dispensary).
Kuna geti pale kama vile linaingia nyumba ya mtu binafsi kumbe ni njia watu wanapita, unatokezea sokoni Magengeni.
Hiyo Guest inaitwaje??? Hivi inafanya kazi???
Na yule Mdogo wake aliingia kwenye jeneza nyimbo ya MwanaFA ya alikufa kwa ngoma naye alifariki piaMangapi alishafariki kitambo tu
Yes, TutuNa yule Mdogo wake aliingia kwenye jeneza nyimbo ya MwanaFA ya alikufa kwa ngoma naye alifariki pia
Dah exactly! jina lilinitokaYes, Tutu
Haaa haaaa hicho kitakuwa choo cha wanaume.mimi nilikuwa naenda sana mango.chooni sijawahi ona no.za simu. Mimi nimekulia k.ndoni( block 41) ila vituko vingi nimevisoma humuMsisahau Mango garden namba za mashoga zimeandikwa chooni
Mzee wa kwa Madiba!Hivi unamjua Rashid Mandanje?
Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo
Mkuu unauwa mbavu zanguNa buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Inalilahi amina ridhiwani amefariki?? Lini mkuu dah [emoji24] [emoji24] [emoji24] aminaHe he usikute tunajuana kuna mdada tulisoma nae alifariki mwaka jana alikua anakaa huko msisiri Amina ridhiwani masikini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,mkuuu si utupe muendelezo[emoji16] [emoji16]Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Pale kwa chabo ni balaa!kuna story M/kiti wa Serikali ya Mtaa Msisiri enzi hizo alienda kugegeda akapigwa chabo na wahuni muda mrefu tu ikafika kipindi anataka kumla tigo dada;basi kuna mpiga chabo akapayuka dah M/kiti na wewe unafi..!Mchezo uliishia hapo na M/kiti alipotea mtaani kwa muda mrefuIla nakumbuka zamani kuna Shost wangu alikuwa anaishi mwananyamala kwa msisiri.ni zamani nyumba yao ilikuwa karibu na gesti imenibidi nimuulize ile gesti inaitwaje ameniambia ni kamanyola watu walikuwa wanapiga chabo mno.shost wangu mwenyewe ameshahama nyumba mamaake aliiuza wakahama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Duuuuh,hatari sanaaaManyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Yule mzee noma ofisi anaiendesha mwanae yeye katulia nyumbani