Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Wapi DJ Manga P?Alikuwa anatuburudisha pale Masai kipindi hiko Hakuna Club bali kuna vyumba vya kulala wageni na Bar halafu Manga P anakuja kila Alhamisi au Ijumaa kutuburudisha na oldies za 80s. Hii ndio ilianza kuvutia wateja hadi Club ikaanzishwa.

Kipindi hiko hapo opposite kuna kibanda choka mbaya ila kina michipsi na mishikaki mitamu na bei ya kutupa ukichanganya na miguu ya kuku.
Mangapi alishafariki kitambo tu
 
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Prof Vulata alishafariki
 
Mazee...
Kuna ile Guest House iko mkabala na uwanja wa Mwananyamala B kama unatokea zilipo Ofisi za CHADEMA kwa sasa (Masana Dispensary).
Kuna geti pale kama vile linaingia nyumba ya mtu binafsi kumbe ni njia watu wanapita, unatokezea sokoni Magengeni.
Hiyo Guest inaitwaje??? Hivi inafanya kazi???
Padri Mcharo kumbe nawe wa huko
 
Msisahau Mango garden namba za mashoga zimeandikwa chooni
Haaa haaaa hicho kitakuwa choo cha wanaume.mimi nilikuwa naenda sana mango.chooni sijawahi ona no.za simu. Mimi nimekulia k.ndoni( block 41) ila vituko vingi nimevisoma humu
 
Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo

Draft bila maneno ya shombo halinogi. Mfano pale umemfunga mpinzani wako ambaye anakudharau utasikia anakuambia wewe ni baiskeli ya miti atakukuta mlimani/kwenye tambarare au anakwambia ndege kumnyea mtu sio shabaha ni bahati tu. Pia ukifunngwa na mtu mwenye shombo atakuambia ulikuwa unalia nataka cheza na kaka huku kabana pua kama anavyoongea mtoto mdogo. Yaani draft kama una hasira za haraka huwezi utakuwa unarusha ngumi kila mara.
 
Ila nakumbuka zamani kuna Shost wangu alikuwa anaishi mwananyamala kwa msisiri.ni zamani nyumba yao ilikuwa karibu na gesti imenibidi nimuulize ile gesti inaitwaje ameniambia ni kamanyola watu walikuwa wanapiga chabo mno.shost wangu mwenyewe ameshahama nyumba mamaake aliiuza wakahama
 
He he usikute tunajuana kuna mdada tulisoma nae alifariki mwaka jana alikua anakaa huko msisiri Amina ridhiwani masikini
Inalilahi amina ridhiwani amefariki?? Lini mkuu dah [emoji24] [emoji24] [emoji24] amina
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,mkuuu si utupe muendelezo[emoji16] [emoji16]
 
Ila nakumbuka zamani kuna Shost wangu alikuwa anaishi mwananyamala kwa msisiri.ni zamani nyumba yao ilikuwa karibu na gesti imenibidi nimuulize ile gesti inaitwaje ameniambia ni kamanyola watu walikuwa wanapiga chabo mno.shost wangu mwenyewe ameshahama nyumba mamaake aliiuza wakahama
Pale kwa chabo ni balaa!kuna story M/kiti wa Serikali ya Mtaa Msisiri enzi hizo alienda kugegeda akapigwa chabo na wahuni muda mrefu tu ikafika kipindi anataka kumla tigo dada;basi kuna mpiga chabo akapayuka dah M/kiti na wewe unafi..!Mchezo uliishia hapo na M/kiti alipotea mtaani kwa muda mrefu
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Duuuuh,hatari sanaaa
 
Back
Top Bottom