Mtaa wa kwa kina hamisNi kweli nyumba nyingi zimeuzwa pande zile na wenyeji wengi wameahama, kuna nyumba karibu na dispensary ya mashuda walikuwa wanauza chakula kwa ajili ya makonda na madereva wa daladala tu na pia humo humo wanauza bangi na madawa. Kweli mwananyamala imebadilika zama zile zimepotea kabisa. Tushacheza sana keram kwa meja matunda.
YapMtaa wa kwa kina hamis
Baada ya sakasaka ya unga,mateja wengi wanafata mzigo maduka matatu au GEREJI MCHANGANI sema huuziwi kama hujulikani.Ni kweli nyumba nyingi zimeuzwa pande zile na wenyeji wengi wameahama, kuna nyumba karibu na dispensary ya mashuda walikuwa wanauza chakula kwa ajili ya makonda na madereva wa daladala tu na pia humo humo wanauza bangi na madawa. Kweli mwananyamala imebadilika zama zile zimepotea kabisa. Tushacheza sana keram kwa meja matunda.
Anauza vitu vya asili kuna nilisikia alikua south aseee kuna siku nilionana na mtumwa ramadhani kanisimamisha me nilimsahau kabisa akaniuliza we sio flani nikamjibi ni mm lakini sikukumbuki jaman akaniambia hata hivyo miaka mingi mnoooo sema sura yako haijabadirika basi akanitajia jina tukasalimiana kwa furaha na kupeana noAli mbade amekuwa anauza uza sijui nin pale na kisauti chake flani hivi kwa mbele kuna shomari Ali tulisoma nae pia..kuna jeba khasim wote wapo maeneo hayo hayo
Kaká angu yule wa kimtaa nae mwenyewe si alikuwa mtu wa hizo mambo anauza
Ningekuwa nimekulia mwananyamala nisingekuja kwny hiyo sherehe mzee wako mtata sana na hivi nina paraHuu uzi utaenda halafu kuna.mtu atasuggest ifanyike get together, subirini tu mtaniambia
Polisi wa mwinyijuma, minazini na obey walikuwa wanajua vilinge vyote na muda wa kwenda kudaka, walikuwa wanapokezana kwa wiki.Baada ya sakasaka ya unga,mateja wengi wanafata mzigo maduka matatu au GEREJI MCHANGANI sema huuziwi kama hujulikani.
Kuna nyumba wanauza gongo miaka minne nyuma kila siku kuna polisi kutoka mwinyjuma lazima waende.
1.Polisi mmoja ana bunduki
2.Na redio yao ya upepo
3.Ana kirungu,miaka yote ndo haohao na wamegawana hizo zana,siwoni siku hizi.
Huko UJIJI ndo "jehanam" ya mwananyamalaPale karibu na hosptal ya mwanayamla kuna KAM dispnsary kuna siku wahuni walikwenda kuifunga ile KAM kuna kijana mmoja mzamini wa wahuni yanii wahuni wakiiba huko simu sijui handbag yeye ndio taita anawapa cash...yule Don wao kuna siku jino limemsumbua akaenda pale KAM doctor aliyemkuta zamu ameshapiga vyombo banana enzi hizo docor kampiga sindano ya ganzi fresh doctor ameacha jino bovu akatoa jino zima dah yule Don akatiwa pamba mdog mdog mpaka home ganzi inakwisha anagundua jino bovu lipo duh huo mtiti wake sio mdogo wakawambia wahuni wake leo sina pesa nimeumwa jino nimekwenda kutoa doctor kazingua wahuni wakatia timu pale KAM wanadai jino la Boss wao lile zima arejeshewe vumbi balaa wahuni waliondoka mpaka na mikasi na doctor juu juu wakaenda nae ujiji huko
Ewaaaaaaa.....Polisi wa mwinyijuma, minazini na obey walikuwa wanajua vilinge vyote na muda wa kwenda kudaka, walikuwa wanapokezana kwa wiki.
Mtumwa namkumbuka sana...kuna mtu anaitwa hussen bakari ustadh nilikutana nae na mohamed (kimeta) wakaniambia kuna kuwa na miting kila jpili ya LY 1999 sijui ni lamada sijui ni wapi sema nikapoteza mawasiliano yaoAnauza vitu vya asili kuna nilisikia alikua south aseee kuna siku nilionana na mtumwa ramadhani kanisimamisha me nilimsahau kabisa akaniuliza we sio flani nikamjibi ni mm lakini sikukumbuki jaman akaniambia hata hivyo miaka mingi mnoooo sema sura yako haijabadirika basi akanitajia jina tukasalimiana kwa furaha na kupeana no
Ndio, ila walikuwa wanajulikana sana yaani kwao akikamatwa mtu tu halali selo lazima atoke. Mi nimekuwa na wadogo zakeKaká angu yule wa kimtaa nae mwenyewe si alikuwa mtu wa hizo mambo anauza
Ni kila jumapili jion ni kinondoni Mk nilishawahi kwenda siku mojaMtumwa namkumbuka sana...kuna mtu anaitwa hussen bakari ustadh nilikutana nae na mohamed (kimeta) wakaniambia kuna kuwa na miting kila jpili ya LY 1999 sijui ni lamada sijui ni wapi sema nikapoteza mawasiliano yao
Hivi yupo hamis asee mda sana toka nipo mdogo sijamuonaNdio, ila walikuwa wanajulikana sana yaani kwao akikamatwa mtu tu halali selo lazima atoke. Mi nimekuwa na wadogo zake
Walikuwa na sungusungu mmoja mnoko sana pale mwinyijuma ila jina nimemsahauEwaaaaaaa.....
Pale Mwinyjuma pale kwa hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukilemaa wanakupeleka Obay fastaaa,nilichelewa jamaa yangu wakamlaza O bay ikanitoka 60k kesho yake ndo namtoa
It means kesho wapo?? Wew ni PM nipe no ya mtu mmoja kuna vitu aviwezi kurudi tena ktk maisha acha nikacheck na jamaa na mafrend wa utotoniNi kila jumapili jion ni kinondoni Mk nilishawahi kwenda siku moja
Now wana mgambo mmoja hivi wa maduka matatuWalikuwa na sungusungu mmoja mnoko sana pale mwinyijuma ila jina nimemsahau
Yupo anaendelea na harakati zake za kimaisha ila wadogo zake wengi wapo SouthHivi yupo hamis asee mda sana toka nipo mdogo sijamuona
Sifa nyingine ya mwananyamala,vijana wengi sana wamekimbilia South,wapo waliomaliza 10-20 yrs huko SOUTH.Yupo anaendelea na harakati zake za kimaisha ila wadogo zake wengi wapo South
Hivi mtumwa yupo kweli?Anauza vitu vya asili kuna nilisikia alikua south aseee kuna siku nilionana na mtumwa ramadhani kanisimamisha me nilimsahau kabisa akaniuliza we sio flani nikamjibi ni mm lakini sikukumbuki jaman akaniambia hata hivyo miaka mingi mnoooo sema sura yako haijabadirika basi akanitajia jina tukasalimiana kwa furaha na kupeana no
Kwetu ni pale matoke gerage kinondoni ɓHivi yupo hamis asee mda sana toka nipo mdogo sijamuona