Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Ikawaje Mkuu baada ya kukufata kituon[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
FARU ya manzeseBEACH BOY ya ferry NATIONAL ya tandale hizo timu zikija kucheza na SWAZI lazima watu kbla mpira hujaisha tutokee kwenye mabati

Mkuu hapo umetaja National ya tandale umenikumbusha chama langu kuna beki yetu mmoja alikuwa akiitwa Hanzuruni alikuwa anatumia sana akili huyu mtu..
Katikati ya dimba kuna mtu mmoja alikuwa akiitwa COSTI alishawaji chezea mpaka Yanga..

Those days tulikuwa tukija kucheza mechi mwananyamala lazima kinuke..
 
Bado mpaka siku hizi
 
Sasa nimeelewa kwa nini Chadema waliamua kuweka makao makuu ya Chadema mwananyamala ni chama cha wahuni ofisi zao ziko kwa wahuni wa kila namna na ofisi yenyewe kuanzia muonekano ni ya kihuni
Head Quarter ya Chadema ipo Mwananyamala?
 
Huyu na mdogowe tutu wrote wamevuta,maza yao mchawi kama usiku
 
Nakumbuka kuna siku tulipotea njia na jamaa yangu mitaa ya mwananyamala ujiji sasa tukapita kichochoro kimoja tukakuta masela wanacheza kamari na panga mfukoni
Tulitimua mbio hadi tukajua njia ya kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…