Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

Ukishaona kwenye nchi kuna sheria zinazotungwa kufuata tabia binafsi ya kiongozi wa nchi, ujue itakuwa vigumu kiongozi huyo kutoka madarakani, na sio kutoka tu, bali kutoka kwa amani.
Naishangaa sana corona kumuacha mtu kama huyu mpaka mida hii maana anatutungia sheria ambazo zitafanya wajukuu wetu kutushangaa tuliwezawezaje kukubali kutawaliwa kiboya namna hii tena karne ya 21
 
Yaani CCM na TCRA wameona vyombo vya habari vya ndani vikijiunga na vile vya nje kwa matangazo kuna uwezekano wa habari za mgombea wa upinzani ( Lissu) kupata airtime, sasa walichoamua kufanya ni kuwanyima watanzania haki yao ya kikatiba ya kupata habari ili wajinufaishe wao CCM kupitia hao vibaraka wao TCRA.

Hili linathibitisha ni kwa jinsi gani, CCM na taasisi zake walivyomstari wa mbele kukandamiza haki za raia wa nchi hii, ni wakati sasa wa kumuondoa huyu mkoloni mweusi na vibaraka wake wote.
 
TCRA wakiongea na vyombo vya habari vya Tanzania wamesema ni marufuku vyombo vya ndani kujiunga ma vyombo vya habari vya nje kama BBC, DW au VOA bila kuwa na kibali kutoka TCRA.

Pia vhombo ambacho kitakuwa kinarusha matangazo hayo na chombo hicho cha nje kikatoa maudhui ambayo wao TCRA wataona yanakiuka sheria za nchi basi chombo hicho cha ndani kitawajibishwa.

Dotto Bulendu akipata muda aje atugafanulie maana ndio alikuwa anahojiwa na DW mchana huu
Haya ndio kama yale ya mwaka 1974 ya kupiga marufuku computers na TV sets! Halafu tukiambiwa tunarudi nyuma tunakuwa wakali!
 
TCRA wakiongea na vyombo vya habari vya Tanzania wamesema ni marufuku vyombo vya ndani kujiunga ma vyombo vya habari vya nje kama BBC, DW au VOA bila kuwa na kibali kutoka TCRA.

Pia vhombo ambacho kitakuwa kinarusha matangazo hayo na chombo hicho cha nje kikatoa maudhui ambayo wao TCRA wataona yanakiuka sheria za nchi basi chombo hicho cha ndani kitawajibishwa.

Dotto Bulendu akipata muda aje atugafanulie maana ndio alikuwa anahojiwa na DW mchana huu
Dotto ni bonge la mtangazaji
 
kwamba wametengeneza kanuni ambazo zinaelekeza masuala hayo. huu uoga sijui unalenga nini
Ni maagizo kutoka juu. Aliye juu ni mwoga haijapata kutokea.
  1. Ukiwa na blog inabidi ujisajili na ulipie
  2. Ukiwa na akaunti Youtube inabidi ujisajili na ulipie
  3. Magazeti yenye maoni mbadala yanafungiwa (Tanzania Daima, Mwanahalisi, Mawio nk)
  4. Tovuti zenye mawazo mbadala zinafungiwa (kwanza Jamii)
Yote haya anamuogopa nani?
 
Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini tozo zimepungua
Wale wanao jaribu kuleta maarifa mapya kwa jamii spana zinatembezwa
 
Back
Top Bottom