Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapumbavu wakubwa hawa.....wanamridhirisha nani? au maamuzi ya kishenzi kama haya ni kwa faida ya nani?
Kwani huko YouTube mkianzisha huwa hampati faida,Kusema ukweli serikali ni wabaya sana.Mtu kuanzisha channel yake YouTube eti mpaka leseni utafikiri wao ndo wanamiliki youtube.
Naomba link mkuuBaada ya kusikia lissu atahojiwa na CITIZEN ya kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani sisi wengine wenye akaunti za biashara Instagram pia nasikia tunatakiwa kujisajili.Imagine mimi leo nianzishe page YouTube ya hata kufundisha tu biology let say. Eti lazima nipate leseni kutoka TCRA. Bando langu,muda wangu,YouTube wala sio ya serikali.
Unaakili nyingi mkuu. Jicho la tatu Tu ndo watakuelewa.Sawa twende mdogo mdogo tutaelewana tu
anajimaliza, bado hawaoni kuwa Waatanzania si wajinga. Wametishwa miaka 5, lkn ya Singida, JNIA, ya DDM bado hawajashituka!Hizi sheria za habari ni laana kubwa kwa Taifa.kama kuna mwana CCM anaona kinacho fanyika ni sahihi ahurumiwe.Na kama kweli hizi ndio mbinu tulizoona zina faa basi chama kimeangamia.
Narudia tena uchaguzi mwaka huu c lelemama.
Hata Marekani wanadhibiti kwa kasi sana, urusi pia, uhuru bila mipaka ni hatari kwa usalama wa nchi.Twende na JPM gari la uhakika
Huo ni ujinga. Ina maana siku zote hizo vyombo vyetu vya habari vilikuwa vinavunja sheria za nchi? Kama ni hivyo basi Uongozi wa TCRA wawajibiske au wawajibishwe kwa kushindwa kusimamia vyombo vyetu vya habari. Watu wasipoangalia tutakuwa kama North Korea au China, hawa jamaa wanadhibiti mpaka maadmin wa WhatsApp utafikiri ni waajiriwa wao!Yaani CCM na TCRA wameona vyombo vya habari vya ndani vikijiunga na vile vya nje kwa matangazo kuna uwezekano wa habari za mgombea wa upinzani ( Lissu) kupata airtime, sasa walichoamua kufanya ni kuwanyima watanzania haki yao ya kikatiba ya kupata habari ili wajinufaishe wao CCM kupitia hao vibaraka wao TCRA.
Hili linathibitisha ni kwa jinsi gani, CCM na taasisi zake walivyomstari wa mbele kukandamiza haki za raia wa nchi hii, ni wakati sasa wa kumuondoa huyu mkoloni mweusi na vibaraka wake wote.