Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka sasa maybe hutoboiJPM katili sana, ndiye aliyebariki shambulio la Lissu kuchapwa zile mvua za risasi. Muda ukifika tutaweka wazi kila kitu.
Usiwe na kiherehere kama kuku anayetaka kutaga.Weka sasa maybe hutoboi
Hopeless unajua kuongea nyuma ya keyboard tuUsiwe na kiherehere kama kuku anayetaka kutaga.
Tutasikiliza online
Kama bado mpaka Sasa hujajua hilo lengo nakuhurumia!Hii serikali sijui inalengo gani na wananchi
Yaani CCM na TCRA wameona vyombo vya habari vya ndani vikijiunga na vile vya nje kwa matangazo kuna uwezekano wa habari za mgombea wa upinzani ( Lissu) kupata airtime, sasa walichoamua kufanya ni kuwanyima watanzania haki yao ya kikatiba ya kupata habari ili wajinufaishe wao CCM kupitia hao vibaraka wao TCRA.
Hili linathibitisha ni kwa jinsi gani, CCM na taasisi zake walivyomstari wa mbele kukandamiza haki za raia wa nchi hii, ni wakati sasa wa kumuondoa huyu mkoloni mweusi na vibaraka wake wote.
Aisee mchana hapa nimewasha rfa nisikilize dw nakuta hola...
Ila hawa jamaa hawatutendei haki hata kidogo, miaka yote tunasikiliza hizi redio, alafu mwaka huu ndiyo iwe tatizo!?
Wanaficha vitu gani hasa!?
Wafanye kila wafanyalo, Watabana Hatimaye Wataachia....Mnyama aliyekaribia haachi kurusha miguu
Siamini kama inalengo zuriKama bado mpaka Sasa hujajua hilo lengo nakuhurumia!
Hata Marekani wanadhibiti kwa kasi sana, urusi pia, uhuru bila mipaka ni hatari kwa usalama wa nchi.Twende na JPM gari la uhakikaUkishaona kwenye nchi kuna sheria zinazotungwa kufuata tabia binafsi ya kiongozi wa nchi, ujue itakuwa vigumu kiongozi huyo kutoka madarakani, na sio kutoka tu, bali kutoka kwa amani.
DStv sio ya wanyongeWamesahau kwamba DSTV kuna TV za kenya ambazo ndio zitakua mkomjozi wetu[emoji39][emoji111][emoji1]
Wacha wazidishe maadui! wanadhani wanajijenga, ...TCRA wakiongea na vyombo vya habari vya Tanzania wamesema ni marufuku vyombo vya ndani kujiunga ma vyombo vya habari vya nje kama BBC, DW au VOA bila kuwa na kibali kutoka TCRA.
Pia vhombo ambacho kitakuwa kinarusha matangazo hayo na chombo hicho cha nje kikatoa maudhui ambayo wao TCRA wataona yanakiuka sheria za nchi basi chombo hicho cha ndani kitawajibishwa.
Dotto Bulendu akipata muda aje atugafanulie maana ndio alikuwa anahojiwa na DW mchana huu