Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

Hata kucomment JF watataka tuwe na leseni[emoji1][emoji111][emoji39]
 
Serikali hii inapaswa ijitathimini sana, Kama kweli serikali ya awamu ya tano imefanya makubwa kuliko kipindi chote kile, wananchi wanaikubali na wanaiunga mkono, inakusanya kodi kubwa zaidi kuliko kipindi chote hicho, sasa huu uoga unatoka wapi tena??
 
Wamesahau kwamba DSTV kuna TV za Kenya ambazo ndio zitakua mkombozi wetu[emoji39][emoji111][emoji1]
Yaani CCM na TCRA wameona vyombo vya habari vya ndani vikijiunga na vile vya nje kwa matangazo kuna uwezekano wa habari za mgombea wa upinzani ( Lissu) kupata airtime, sasa walichoamua kufanya ni kuwanyima watanzania haki yao ya kikatiba ya kupata habari ili wajinufaishe wao CCM kupitia hao vibaraka wao TCRA.

Hili linathibitisha ni kwa jinsi gani, CCM na taasisi zake walivyomstari wa mbele kukandamiza haki za raia wa nchi hii, ni wakati sasa wa kumuondoa huyu mkoloni mweusi na vibaraka wake wote.
 
[emoji16] [emoji16]
IMG-20200810-WA0060.jpeg
 
Wanaficha uchi , watakua wana matatizo
Aisee mchana hapa nimewasha rfa nisikilize dw nakuta hola...
Ila hawa jamaa hawatutendei haki hata kidogo, miaka yote tunasikiliza hizi redio, alafu mwaka huu ndiyo iwe tatizo!?
Wanaficha vitu gani hasa!?
 
Mbombo ng'afu mama anaipenda bbc leo ataangalia st swahili tu haina jinsi
 
Ukishaona kwenye nchi kuna sheria zinazotungwa kufuata tabia binafsi ya kiongozi wa nchi, ujue itakuwa vigumu kiongozi huyo kutoka madarakani, na sio kutoka tu, bali kutoka kwa amani.
Hata Marekani wanadhibiti kwa kasi sana, urusi pia, uhuru bila mipaka ni hatari kwa usalama wa nchi.Twende na JPM gari la uhakika
 
TCRA wakiongea na vyombo vya habari vya Tanzania wamesema ni marufuku vyombo vya ndani kujiunga ma vyombo vya habari vya nje kama BBC, DW au VOA bila kuwa na kibali kutoka TCRA.

Pia vhombo ambacho kitakuwa kinarusha matangazo hayo na chombo hicho cha nje kikatoa maudhui ambayo wao TCRA wataona yanakiuka sheria za nchi basi chombo hicho cha ndani kitawajibishwa.

Dotto Bulendu akipata muda aje atugafanulie maana ndio alikuwa anahojiwa na DW mchana huu
Wacha wazidishe maadui! wanadhani wanajijenga, ...
 
Back
Top Bottom