Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Nchi iko kifungoni tayari.laa! Sasa taarifa za nje tutazipataje?
Sugu alipofungwa alisema " wanashangaa yeye kufungwa physically wakati nchi ilikuwa gerezani mentally "
Tumehama kutoka mental restraint sasa tumeingia kwenye physical and situational restraint.
Tuna kila sababu sasa ya kumuondoa Magufuli madarakani.