Vituo vya Yatima (Orphanages) ni biashara ya utumwa

Uko sawa... Hata hadith za mtume Muhammad (saww) zinaafiki hili
 
Ndio maana wanaitwa " wa haramu" hao ni wa uasherati na uzinzi na ndio waliojazwa vituo vya "yatima" na "watoto wa mitaani".

Wewe wazazi wako walikuzaa nje ya ndoa? Umelelewa kituo cha "yatima".
 
Imani yako inakufanya ufikirie kama kuku.smh
 
Ndio maana wanaitwa " wa haramu" hao ni wa uasherati na uzinzi na ndio waliojazwa vituo vya "yatima" na "watoto wa mitaani".

Wewe wazazi wako walikuzaa nje ya ndoa? Umelelewa kituo cha "yatima".
Unavyotamka sasa, utadhani walipenda wazaliwe hivyo! sio kila "Yatima" ni zao la "uasherati" na "uzinzi"! Stop this.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…