Vituo vya Yatima (Orphanages) ni biashara ya utumwa

Wewe tulia tulia tafadhali
 
BIBI

Sasa umekuwa mpuuzi kupita maelezo ni Bora Ukae Kaa Chini na kufikiria kabla hujaandika kitu

Unapata wapi Nguvu ya Kumwita Mtoto wa mwenzio Wa haramu ( Unajua ni maana ya Haramu wewe)

Kwani wao mimba zao zilitungwaje Kwa nji ya mdomo au kuwa serious punguza upuuzi na ujinga
 
Umekosea, nani alee wajukuu? Unanchkesha! Wajukuu wana wazazi wao.

Sasa hivi nahesabu vitukuu.

Naona mada imekuingia panapotakiwa, ulilelewa kituo cha "yatima"?
 
Wacha uongo na ujinga juha wewe.

Kanisome upya.
 
Ila Faiza.....

Huwa una point muhimu lakini hii dini tuliyoletewa na waarabu inakufanya usijue uandike lipi na uache lipi.

Matokeo yake andiko lako zuri unaliharibu.

Kwa kuwa upo Afrika basi ujue kabia kwenye ukoo wenu wapo waliozaliwa kiharamu na Hadi wewe ukazaliwa ndio zikaanza itikadi za uharamu na uhalali. Mababu zetu hawakuwa na uislam wala ukristo.

Mwisho kabisa hakuna mtoto anayependa kuzaliwa nje ya ndoa. Inatokea tu, na ndio Qadar yake, ingekuwa Allah hajapanga azaliwe basi asingezaliwa.
 
Ukweli uko palepale, "watoto wa haramu* sio "watoto haramu"

Tendo lililotumika kuwapata ndio haramu
 
Mambo kama haya ya kuita watu wengine haramu ndo yananikeraga kwenye dini. Kabla hizi dini hazijaja hakukuwa na watu haramu na wasio haramu. Huu ni ushenzi wa kifikra
 
Wewe huelewi hata maana ya dini.

Hakuna kituo cha yatima katika mafundisho ya Uislam. Yatima alelewe na ahli zake, sio kwenda kumfanyqa kinyago cha kuomba dua zinapoletwa sadaka.


Vituo vya yatima ni unyànyasaji na kujenga tabaka ya watumwa maisha.

Iwe cha kidini au binafsi, Havifai kuwepo kwenye jamii yenye maadili.
 
Ukweli uko palepale, "watoto wa haramu* sio "watoto haramu"

Tendo lililotumika kuwapata ndio haramu
Hayo yote uliyoandika bado hujanukuu nilivyoandika kwenye post yangu. Kanisome tena. Hujuwi kusoma au unataka kubadilisha maneno? Huwezi kushindana na ukweli.
 
Simu zilikuepo? Majengo ya madrasa yalikuepo? Tasbihi zilikuepo? Ficha ujinga wako Kidogo
 
Hao itakuwa babu zako.
.haramu ipo na itaendelea kuwepo mpaka wote muufate ukweli.

Kwanini msiwalee wenyewe hao watoto kama walivyokulea wewe babu zako waliozoea haramu? Kwanini mkawatupe kwenye vituo vya utumwa?

Nani aliokwambia kuna mtoto anaekwenda pale kulelewa kwa hiyari yake au kwa kupenda kwake?
 
Simu zilikuepo? Majengo ya madrasa yalikuepo? Tasbihi zilikuepo? Ficha ujinga wako Kidogo
Wewe unaongea kijuha, Tuambie zilitumika technolgy zipi Aztec na Giza.

Mada hapa ni vituo vya "yatima".

Hata maana ya "madrassa" huielewi, Utaielewa maana ya tasbih? Au umekurupuka tu.
 
Wewe unaongea kijuha, aTuambie zilitumika technolgy zipi Aztec na Giza.

Mada hapa ni vituo vya "yatima".

Hata maana ya "madrassa" huielewi, Utaielewa maana ya tasbih? Au umekurupuka tu.
Acha ujuha wewe, enzi za Giza my foot....acha ujuaji wa kijinga! Huna moral authority ya kuwaita Yatima watoto haramu! Shut up Faiza kama unateseka nenda na wewe kafungue, bytheway miccm si ndio inaendesha baadhi ya vituo?
 
Hakika, huyu bibi kuna wakati huwa na upuuzi mwingi sana.
Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).

Mpuuzi sana wewe, imani yako isikufanye ukose utu kwa mtoto asie na kosa. Toa hukumu yako kwa mzazi na si mtoto asie na hatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…