Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
ni mjanjamjanja hivi, anaidanganya sana jamii yake ya kiislam kuwa ni msomi wa maandiko matukufu/matakatifu kumbe anafanya abrakadabra tu apate mkate wa maisha yake. Hana tofauti na wale wengine wadanganyao wenye shida kuwa wanaponya kwa kutumia miujiza ya maji na mafuta ya upakoHuyu si ndio anasifiwa SHEIKH MSOMI....
Unaamisha mada kwa nguvu zote shehe ndo amesema msikiti umejengwa na majini wewe unaleta habari za wachungajiSio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majini
mkuu mkorofi wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji38]Jini jingine lipo humu linaitwa FaizaFoxy
Comoro kuna umaskini sana swali la kujiuliza kwanini watu wasiende kuomba ili shida zao ziondokeMimi ni muislamu lakini niseme tu kwamba kuna baadhi ya maneno ya hawa wanazuoni wetu yananipa wakati mgumu kidogo.
Anaposema mtu akienda kwenye nyumba hiyo akiomba kuondoshewa shida zake anazoziona zimekuwa nzito kwake basi lazima atapata jibu kwa haraka anamaainisha nini! Kwamba lazima shida yake itapata ufumbuzi au atapata jibu kwa haraka kama amekubaliwa au amekataliwa au imekaa vipi,maana kama anamaanisha lazima atakubaliwa na kupatiwa ufumbuzi wa tatizo lake basi nina uhakika hapo mahala kungekuwa kunafurika watu kila siku na wala wasingekuwa raia wa hapo Comoro tu bali kungefurika watu kutoka pande zote za dunia.
Halafu kwanini Mungu atoe majibu ya shida za waja wake mahali hapo tu na si kwingineko.
Hatuabudu Mungu mmoja bali tofautiDINI YA MAJINI, INATUMIA NGUVU NA RUSHWA KUPATA WAFUASI, UKISHAJIUNGA NI ZAIDI YA JELA, UKIJITOA ADHABU NI KIFO. UNATARAJIA MKUU WA HIYO DINI NI NANI? HUWA NAWASHANGAA SANA WANAOSEMA TUNAMWABUDU MUNGU MMOJA. WAKATI DINI MOJA MAJINI YOTE NI MASHETANI DINI NYINGINE WANA WAPETI PETI MAJINI, KUYAFUGA, KUISHI NAYO, KUSALI NAYO NA KUYATUMA
Huamini aumkuu mkorofi wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji38]
HAKUNA SHETANI MZURI. WOTE WALISHAHUKUMIWA WANATAFUTA WATEJA WA KWENDA KUCHOMWA NAOHatuabudu Mungu mmoja bali tofauti
Wakristo wana-ushirika na Roho mtakatifu na malaika
Huku waislamu wakiwa na ushirika wa majini wazuri
So Jini ni shetani???HAKUNA SHETANI MZURI. WOTE WALISHAHUKUMIWA WANATAFUTA WATEJA WA KWENDA KUCHOMWA NAO
Kwenye Quran kuna Sura ya majini. Saudia kuna msikiti wa majiniWalicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Hata mimi nilikuwa nafikiria kama wewe elimu dunia.Huwa tunawashauri ndugu zetu waislamu wasome elimu dunia ndio wawe masheikh,ona Sasa wanavyokutana navyo,ni mambo ya ajabu kabisa ambayo hata wa la kwanza anajua ni uongo
Majini Sports Club ndio walienda kuyachukua hapo comoro na kumtupia Mayele
Pale Jangwani kuna masheikh bingwa sana!