Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #81
Weekly siku 6 wanalipa elfu 60 ila hii yangu section yake ni 15 day siku 6 ndo mnalipwa ijumamosi. J pili mnapunzika. Chakula mnakula kwa mama ntilie mnamlipa mkipokea siku ya j mosiDay sh.ngapi wanakulipa ?
Na vipi kuhusu suala la msosi,shift na off day ?
Sawa komaa.Weekly siku 6 wanalipa elfu 60 ila hii yangu section yake ni 15 day siku 6 ndo mnalipwa ijumamosi. J pili mnapunzika. Chakula mnakula kwa mama ntilie mnamlipa mkipokea siku ya j mosi
Dah!sijui hata nimeumia nini ila nimepata maumivu upande wa kushoto chini ya nyonyoWakuu si kwema kabisa
Kazi za site za ujenzi wa wachina zinafanana na mauaji. Kupandisha na kiroba cha saruji floor ya 4 huku subuhi umekula maandazi mawili na chai ya mia sio poa
Nimeingia site nikajiona shujaa wa maisha hali niliyokutana nayo ndugu zangu sio poa kabisa. Wiki hii yote mpaka appetite ya kula imekata kabisa. Imenihangaisha kwelikweli leo nimeamka akili inataka mkono minute lakini mkono kuinuka hautaki.
Jana jioni nimetoka site nilikuwa natembea najiona kama niko juu ya baskeli. Sio vidole wala miguu haitoi ushirikiano kabisa. Kazi za site wazee zisikie tu. Inafikia kipindi hata viungonvya mwili unavikagua kama vipo mana kila ukitaka vikusaidia kufanya mjongeo havitokei kushirikiana na wazo lako
Kalaga baho
View attachment 3170405
Unitumie kwenye namba ileile,na ya kutoleaUmakin kwenye kuhonga sio? Kuhonga kupo tu
Mwache bwana bby wangu apambane akizipata ananipeleka kweli!achana na kiumbe kinaitwa mwanaume kina upendo wa ajabu kabisa
Kwanini bando na kusuka? Yaan nyie vichwa vyenu mnafikilia mawigi na marasta rasta na makucha marefu na bando ndio mwisho wa kufikiri, mke wangu nataka apige upara tupunguze budget za kusukasukaUkiombwa hela ya bundle na kusuka usisite kutoa kijana, ndio hasira ya kuzitafuta inakuja zaidi.
Sururu 20 ukatoka na lengelenge 😂Hahahaaa..unanikumbusha mbali sana mzee..Enzi hizo nimetoka kumaliza form six nikasema ngoja nitafute kibarua kuliko kukaa home kibwege..nikaenda zangu sabasaba maonesho msimu ulikuwa unakaribia kwa hiyo walikuwa wanakarabati majengo..kuna jengo moja lilikuwa linatakiwa kuchimbuliwa floor ya zege.Hapo ndio nilipata kazi ..upana wake au kimo cha hiyo zege ni kama nusu mita (Means kutoka juu kwenda chini).Alooh nilipiga sururu kama ishirini hivi nikaona viganja vinachanika..nikawaachia kazi yao nikasepa..kesho kuamka viganja vimeota malenge lenge hahahaa.
Mzee inauma sana pale ambapo unasimama na miguu ipo lakin unajiona kama uko juu ya baskeli mpaka uhakikishe kama miguu ipo kweli au lahHizo kazi ni balaa kama sio mvumilivu huwezi kuzifanya.
Kuna kipindi nilifanyaga ile mwanzoni nikiwa naanza nimelala picha likaanza nikashtuka saa 6 mchana, najaribu kuamka nashangaa kinainuka kichwa tu mwili ukagoma hadi nilipojigeuza na kutafuta support ya mikono.
Hii sana mkuu
Mzee ile zege ni concrete ya maanaSururu 20 ukatoka na lengelenge 😂
Ulikuwa soft sana ila sishangai kwa sababu dar watu wengi hawafanyi kazi za nguvu.
Yani kanichekesha babe wako leo siku nzima nikikumbuka nacheka 😹😹😹Mwache bwana bby wangu apambane akizipata ananipeleka kweli!achana na kiumbe kinaitwa mwanaume kina upendo wa ajabu kabisa
Imagine mtu humdai ila anakupa tu hela😂😂😂
Leo nashinda nacheka, shem una kipaji basi tu unakibania…!!Au sio? Nimeona jukwaa limepoa sana nikaona niwachangamshe. Ila next week naenda unguja nitauambia nimefikia wapi
Kwahiyo unamkejeli ajae kwenye mfumo? 😹😹Ah wewe hawa watu wengine unawapruv wrong at glance kwa nadharia hizi za kumiliki hotel wakati ulianza n mchele mmoja sijui. Idea za pesa kuzitekeleza bila pesa haiwezakani. Hata kwa nidhamu ya pesa tu huwezi.. idea ni idea na pesa ni pesa, zoezi likitaka pesa idea haifui dafu
We subiri uone atashauri nn hapo
Motiveshen tunaziskiliza kipindi tumekata tamaa tu. Nje ya hapo ni hadithi tu. Karibu pajeKwahiyo unamkejeli ajae kwenye mfumo? 😹😹
Anhaa nitakuwq unguja kuanzia jumatano ya wiki hii to end of my life timeLeo nashinda nacheka, shem una kipaji basi tu unakibania…!!
Siku nitakuja hapo ofisini kwako kununua mkoba ili nije kucheka tu 😹😹😹
Shem nakuja nataka kuchezea maji na kasa 😹😹Anhaa nitakuwq unguja kuanzia jumatano ya wiki hii to end of my life time
Hahaha mm si mtaalamu sana lkin sidhani mana divers wanaoga nao kila sikuShem nakuja nataka kuchezea maji na kasa 😹😹
Hivi hawang’ati vibumbu kweli wale? Wasije kuning’oa king’amuzi !🤣
Tuulize mapema, mambo ya kukeketwa ukubwani hatutaki, halafu ngariba mwenyewe kasa 🤣😹😹😹Hahaha mm si mtaalamu sana lkin sidhani mana divers wanaoga nao kila siku
We utaoga na mmTuulize mapema, mambo ya kukeketwa ukubwani hatutaki, halafu ngariba mwenyewe kasa 🤣😹😹😹
Hao divers watakuwa wanawatekenya buanaah 🤣
Mbona wanaume hawaogi nao? 🤭