Imepita miaka 30 ya mahangaiko na watu wenye kununulika. Bado tu nini hakijaeleweka? Kwamba ni ubinafsi kwenda mbele hoja zero?
Yaliwakuta kina Mrema na pia kina Maalim Seif. Hao wakalazimika kushusha na kupandisha tanga. Zilizokuwa NCCR na CUF zikageuka Chausta.
Kwamba binadamu ni viumbe wa ajabu?
Laiti kina Mabere au yule mwingine wangejua. Kwa hakika wasingethubutu.
Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA
Kwamba tulipo yatupaswa kuelezana ukweli, sasa hadharani kwa sababu kuna waliotupia masikio ya kenge? Si bure!
Lisemwalo lipo, kama halipo linakuja:
1. Lissu aongezewe ulinzi. Kwa sasa, dhidi ya maadui wa ndani na nje.
2. Kuondoka chadema siyo option, tuna banana hapa hapa!
3. Kama busara haitamalaki, demokrasia na ichukue mkondo wake sasa!
Kwamba vyama vya siasa si mali binafsi, tusitishane wala kupeana ushauri au kuchagizana awaye yote kuondoka.
Waondoke wao na COVID-19 wao ikiwapendeza.
Wengi wape ndivyo demokrasia inavyotaka.
Kwa hakika "the majority will not miss them!"
Yaliwakuta kina Mrema na pia kina Maalim Seif. Hao wakalazimika kushusha na kupandisha tanga. Zilizokuwa NCCR na CUF zikageuka Chausta.
Kwamba binadamu ni viumbe wa ajabu?
Laiti kina Mabere au yule mwingine wangejua. Kwa hakika wasingethubutu.
Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA
Kwamba tulipo yatupaswa kuelezana ukweli, sasa hadharani kwa sababu kuna waliotupia masikio ya kenge? Si bure!
Lisemwalo lipo, kama halipo linakuja:
1. Lissu aongezewe ulinzi. Kwa sasa, dhidi ya maadui wa ndani na nje.
2. Kuondoka chadema siyo option, tuna banana hapa hapa!
3. Kama busara haitamalaki, demokrasia na ichukue mkondo wake sasa!
Kwamba vyama vya siasa si mali binafsi, tusitishane wala kupeana ushauri au kuchagizana awaye yote kuondoka.
Waondoke wao na COVID-19 wao ikiwapendeza.
Wengi wape ndivyo demokrasia inavyotaka.
Kwa hakika "the majority will not miss them!"