CCM kubaki wapi ndugu? Kama ni madarakani kama wapinzani wajinga, ungetaka wawasaidie kuwang'oa madarakani?
Hudhani demokrasia ingetamalaki chadema, CCM hata kama angekuwa adui angepitia wapi?
..vyama vingine vya upinzani si vipi?
..Je, Ccm na dola yake imeweka mazingira ya usawa kwa vyama na demokrasia kustawi?