Weka uzi hapa brazaj unaomchana makavu laivu huyo mwamba kuhusu maovu yake ili mimi pamoja na hao wengine tujiridhishe pasipo shaka na tuanze kumpa za uso.
Binafsi bado sijapata concrete evidence kuhusu yanayosemwa juu ya mwamba.
Ni mda Mbowe aondoke chadema umeona Lissu anamsema msigwa jua kuna jambo mambo anayoongea msigwa uenda yana ukweli ndani yake
Kwani Lissu kafanywaje?
Yaani Mbowe ndo anapoozesha mambo amwachie Lissu spidi ya ngiri mkia juu
Kweli, mwamba kachoka aachie uenyekiti wachukie wengine wenye energy mpya watuvusheHata Erythrocyte, Retired, JokaKuu na wa namna hiyo wako kama wewe. Wako wanaunganisha dots milele!
Wanaogopa kumuudhi mwamba hata kama ndiye anayetugharimu.
Kwenye nyuzi nyingu Huwa tunaanza kusema:
"Ule mwendo wetu sasa hiiiiiii..
iiii! Au kimya kimya juu Kwa juu.
Full kukasirika macho pima kama mjusi kabanwa mlango."
imhotep au nasema uongo?
Ukweli mchungu hakuna ukombozi hapa na chadema hii labda ya Lissu!