Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

watumishi nasubiri mtaje mishahara ya wenzenu wa mashirika ya umma maana baadhi yenu mnaishia kusema tu mishahara ya mashirika ya umma ni mikubwa bila kuitaja
 
Hivi unafikir mishahara ya serikali ni kiasi gani!?? Kwa fani zoote pesa ni ndogo zaid ya hiyo
kuna watu wana mishahara kama hii ya walimu tu but kwa mwez wanapiga 1m+ za deals jumlisha na kama laki tano posho na bado tuvikao so jamaa anaweza kuvuta 3m kwa mwezi
 
Biashara yenye faida ya laki 1 kwa mwezi ni milioni 3,.....mtaji wake si chini ya milioni 30, hongereni sana wapambanaji
Ila inategemea na biashara, mm nna biashara laki 3 zinajizungusha ila faida kwa mwezi laki na nusu mpk laki 2
 
Nimejifunza kitu kwako mzee!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years [emoji28] kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
Inategemeana kaanza na ngazi ipi ya mshahara miaka 16 mwenye cheti, diploma 12,digrii 8
 
NAOMBA KUFAHAMU KIREFU CHA TGTS TAFADHALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…