Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Hii ni salary scale ya Hakimu Mkazi IIOoooh ok. Kumbe huna uhakika na ulichokiandika. Lakini nimeshakuwekea happy kuwa kuna watu Salary scale yao ni TJS na wanaanza na Tsh.961000/= na wapo kati ya hao uliosema hawaoni ndani kwa mwalimu
Diploma Ni TGS C, hao watumishi wa mahakama Wana hela magumashi nyingi Sana buku 5,10,15 za kutafuta mafaili wanazipiga Sana.Sijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.
Kuna kada wakikuonesha mishahara yao mpaka unawahurumia, lakino hawalalamiki kama walimu.
Kuna watumishi wa mahakama tena wana Diploma kabisa lakini wanalipwa TGS B.
TRA graduate Ni 2,300,000,watumishi nasubiri mtaje mishahara ya wenzenu wa mashirika ya umma maana baadhi yenu mnaishia kusema tu mishahara ya mashirika ya umma ni mikubwa bila kuitaja
Ushaingiziwa mshahara nini?Sirikali hoyee
Huyo sio tutor mwenye diplona anaitwa VOCATIONAL TEACHER,TUTORS ni elimu kuanzia degree,ambao salary yao ni 1.42M BasicTutors wa VETA Diploma wanalipwaje?
Sawa jibu hoja ya msingiHuyo sio tutor mwenye diplona anaitwa VOCATIONAL TEACHER,TUTORS ni elimu kuanzia degree,ambao salary yao ni 1.42M Basic
Hakuna nurse anayeanza na huu mshahara,ww utakua unaongelea wahudumu wa afya ambao wanasoma certificate ya mwaka mmoja ndo wana take home laki 2 na 80 hvi ila basic laki 3+Nurse certificate anaenza Kaz 320k unafikili take home itakua ngap
Tanzania government teachers salaryNAOMBA KUFAHAMU KIREFU CHA TGTS TAFADHALI
Usiweke ya wabunge, utaliza wengi. Huo wa mwalimu kwa Mbunge ni wa siku 1.Tuwekee na ya wabunge
Mweeh dhambi.Usiweke ya wabunge, utaliza wengi. Huo wa mwalimu kwa Mbunge ni wa siku 1.
Hakuna mtumishi wa Afya wa ngazi ya cheti mwenye mshahara chini ya Tsh 432,000. Take home Tsh 380,000 ( bila Makato ya chama Cha wafanyakazi, au Tsh 370,000 Kama yakiwepo).Hakuna nurse anayeanza na huu mshahara,ww utakua unaongelea wahudumu wa afya ambao wanasoma certificate ya mwaka mmoja ndo wana take home laki 2 na 80 hvi ila basic laki 3+
Tanzania Government Teachers ScaleNAOMBA KUFAHAMU KIREFU CHA TGTS TAFADHALI
Kuwa mwalimu wa vitoto vidogo mbona rahisi tu. Kama una wito anzisha kituo cha Chekechea hapo mtaani kwako hukosi watejaNilikuwa Napenda sana kuwa mwl. Tena niwe nafundisha vitoto vidogovidogo vile!
Ualimu ni wito walimu walishapiga sana kelele kuhusu maslahi yao,lakini hakuna anayejali! Enzi za JK walikuwa wanaanzisha mpaka migomo, lakini hola!
Pigeni tu kazi walimu wetu, taifa linawategemea japo wanajifanyaga wanawachukulia poa, wakati mwingine wanawapeleka vishule vya huko ndani ndani ambako hata wao hawawezi kuishi,basi hata wawafikirie kuwapeni posho ya mazingira magumu hakuna[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Pigeni kazi tu na kwa kuwa mna muda mwingi wa ziada, jiongezeni mtafute namna ya kufanya ili kujiongezea vipato kulingana na mazingira mnayoishi!
Mwingine huyu hapa analia Lia πViwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
C1 = Basic 530,000
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
D1= Basic 716,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
E1 = Basic 940,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
ππππTake home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
Hao Utakuta Ni Afisa Elimu Ama Amakaribia KustaafuHao F1 ndio walimu wa hesabu au?