Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ni kweli, uzuri wa idara hii ni muda wa kutosha kufanya mishe zako,inabaki kazi kwako Kutumia muda vizuri.Kilimo Mambo yakikubali,unapata zaid ya laki 3 nje ya mshahara,mitoko yenye hela mingi
Huko Afya nasikia kamshahara ni kanono kidogo tofauti na Kilimo,pia visemina vipo vingi.Huko ndiyo usiseme! Kwenye Afya kazi ni wito.
Hiyo ni kwa secondary pekeeHata walimu wana dili zao. Mimi nina marafiki zangu wawili, kila mwaka wanaenda Marking wanarudi mpaka na 2M.
Mambo yao ni mazuri tu.
kwa kufanyaje dada!Take home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
Sasa kutaja alfabeti bila kuweka kiwango cha pesa wanacholipwa ni kutuumiza tu macho kusoma sisi tusioelewa hizo kanuni.Hapa natofautiana na wewe mkuu. Legal Officer anayeanza kazi kwa local government anaanza na TGS E. Usipotoshe umma.
Pia kwa kawaida watumishi wenye shahada ya kwanza ukiachana na wale wa kwenye mashirika ya umma isipokuwa kwa baadhi ya kada kama afya huanza na daraja TGS D.
Kaka mjini shule, huyu wa laki tatu unamkuta anasukuma IST na anaishi kwenye nyumba self contained na yuko single.kwa kufanyaje dada!
Huyo ni wakike au wakiume?Kaka mjini shule, huyu wa laki tatu unamkuta anasukuma IST na anaishi kwenye nyumba self contained na yuko single.
Wakiume wengi wake zao wanapika mama lishe.Huyo ni wakike au wakiume?
Ni kawaida ila wanazidi walimu kidogo.Huko Afya nasikia kamshahara ni kanono kidogo tofauti na Kilimo,pia visemina vipo vingi.
[emoji38][emoji38][emoji38]! Huo mpango niliwahi ufanya! Nilitamani kununua nyumba, hela toka mkopo wa bank A ikawa haitoshi!Unashangaa laki tatu hiyo ni kubwa sana,kuna watu wana 120000/100000/80000 na maisha yanaendelea asilimia za mkopo zilipoongezwa jamaa walikuwa wanakomba kila kitu pasipo kujari sheria ya kubakiza one third.
Mwaka gani huo ?[emoji38][emoji38][emoji38]! Huo mpango niliwahi ufanya! Nilitamani kununua nyumba, hela toka mkopo wa bank A ikawa haitoshi!
Nilichofanya ni kuongea na kijana wangu wa hazina anisimamishie makato kwa mwezi mmoja ikaja pay slip "safi", nikachukua tena fomu na kwenda bank B kukopa na nikafanikiwa.
Sasa bank zote zikawa zinanyang'anyana mshahara wangu kama mafisi wagombeavyo mzoga, mi nawachora tu nikiwa ndani ya mjengo.
Zoezi hilo hadi kumalizika inabidi uwe umejizatiti kisaikolijia hasa na uwe na miradi ya kukuongezea kipato iliyosimama sawasawa, vinginevyo utakuwa kama umefukuzwa kazi kwa aibu.
Maana na ile furaha ya mwisho wa nwezi ya: "leo mshahara umetoka",inakuwa haikuhusu na hautakiwi kulalamika popote!
Sent using Jamii Forums mobile app
AfyaHuko Afya nasikia kamshahara ni kanono kidogo tofauti na Kilimo,pia visemina vipo vingi.
Kwa hiyo unaturingishia mkuu?TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Kumbe wapo juu ya Walimu na Kilimo.Afya
Certificates wote TGHS A-432,000/= Take home 387,700/=
Diploma wote-680,000/= Take home 584k na tuchenji kadhaa
Degree ndipo kuna tofautiana maana scale kwa Nursing, pharmacy na md tofauti mfano Pharmacy degree Tghs d-1.2 M, Md-Tghs E- 1.48M na hizo ni Ajira mpya
Dah!!!, Bora ualimu.Ni kawaida ila wanazidi walimu kidogo.
Mfano: Nurse ngazi ya cheti anapata Tsh 432,000 lakini anafanya kazi ngumu, anafanya kazi mpaka usiku na Weekends.
Likizo ni siku 28 mara moja kwa mwaka.
Lakini Mwalimu wa ngazi hiyo hiyo anapata Tsh 419,000. Hapa mwalimu kila wanafunzi wakifunga shule, na yeye anafunga.
Mwisho kazini ni saa 9:30 anarudi nyumabni.
Sasa hapo ndio utaona wapi kuna afadhali.
πππππeti hutakiwi kulalamika popote. Ila nadhani kwa sasa hivi haiwezekani hii[emoji38][emoji38][emoji38]! Huo mpango niliwahi ufanya! Nilitamani kununua nyumba, hela toka mkopo wa bank A ikawa haitoshi!
Nilichofanya ni kuongea na kijana wangu wa hazina anisimamishie makato kwa mwezi mmoja ikaja pay slip "safi", nikachukua tena fomu na kwenda bank B kukopa na nikafanikiwa.
Sasa bank zote zikawa zinanyang'anyana mshahara wangu kama mafisi wagombeavyo mzoga, mi nawachora tu nikiwa ndani ya mjengo.
Zoezi hilo hadi kumalizika inabidi uwe umejizatiti kisaikolijia hasa na uwe na miradi ya kukuongezea kipato iliyosimama sawasawa, vinginevyo utakuwa kama umefukuzwa kazi kwa aibu.
Maana na ile furaha ya mwisho wa nwezi ya: "leo mshahara umetoka",inakuwa haikuhusu na hautakiwi kulalamika popote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo faida hata mwalimu akitaka kyingiza anaingiza tu.Unakuta wenzako wanasubiri mishahara wewe wala hauwazi kabisa!!kwa siku unaingiza faida ya 80000/= hadi 100000/= tena unawashangaa wanavohaha!!!
πππππWeka mishahara ya kada zingine kama afya na kilimo ili tulinganishe vizuri