Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha Misugusugu

Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha Misugusugu

Karibu muendelee kujionea bei nzuri kabisa unaweza kuunganisha zaidi ya kimoja
 
Karibu ujipatie viwanja kwa bei ya punguzo kubwa. Eneo liko Kibaha Misugusugu 2km kutoka Morogoro road. Umeme na maji vipo karibu.

20x20 bei 1.8m
20×25 bei 2.3m
25x25 bei 2.8m

Eneo linafaa kwa kufuga ama makazi. Ukitaka heka ama nusu heka bei maelewano. Hakuna udalali ni mali yangu nauza kwa dharura.
Kwa maelezo zaidi piga 0755401051

eka moja bei gani?
 
mimi binafsi nimeshashindwa, nikicompare bei yake na eneo lilipo na maeneo mengine ambayo ni prime kuliko hapo
Karibu basi uchukue 20x20 kwa bei ya 1.8m waweza kuunganisha hata zaidi ya kimoja
 
Karibu basi uchukue 20x20 kwa bei ya 1.8m waweza kuunganisha hata zaidi ya kimoja
bro nahitaji kuanzia eka 1, siyo high density. Kama ingekuwa nje ya dar cbd ningefikiria kuchukua eka 3 na maongezi yangekuwepo
 
Upande wa kushoto unaingilia shell ya camel
Ni hili eneo jirani na akipokuwa akiishi yule mzee aliyekuwa akifyatua tofari hapo njia ya kuanza kwenda kiwandani kwa wahindi?
 
Ni hili eneo jirani na akipokuwa akiishi yule mzee aliyekuwa akifyatua tofari hapo njia ya kuanza kwenda kiwandani kwa wahindi?
Yes nadhani ndio njia hiyo
 
Ni hili eneo jirani na akipokuwa akiishi yule mzee aliyekuwa akifyatua tofari hapo njia ya kuanza kwenda kiwandani kwa wahindi?
Karibu uje upaone nipigie 0755401051
 
Eneo bado lipo la kutosha njoo uunge viwanja unaweza kuunga viwili vitatu ama zaidi. Karibuni
 
Karibu ujipatie plot yako kwa bei nafuu sana!
 
Asanteni wale mnaokuja kuona na kijinunulia plots. Eno bado kubwa karibuni
 
Back
Top Bottom