Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha Misugusugu

Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha Misugusugu

Hapana hiyo niliyoiweka ni bei ya dharura mimi ni mmiliki siyo dalali. Eneo lile bei halisi 20 kwa 20 inaanzia 3m. Hata serikali ya mtaa wanatulaumu tunavyouza 20 kwa 20 2m wanaona tunawanyima mapato kwasababu wenyewe ndio wanasimamia na kuratibu mauziano. Na sisi tuna dharura
Hao serikali ya mtaa nani kawapa mamlaka ya kupanga bei?
Basi wauzieni hao serikali ya mtaa.
 
Huo ndio utaratibu uliopo ukinunua eneo kuna percent unatakiwa kulipa serikali ya mtaa mnunuzi na muuzaji sasa ukiuza bei ya chini wanaona kama mnapunguza mapato yao
Hao serikali ya mtaa nani kawapa mamlaka ya kupanga bei?
Basi wauzieni hao serikali ya mtaa.
 
Huo ndio utaratibu uliopo ukinunua eneo kuna percent unatakiwa kulipa serikali ya mtaa mnunuzi na muuzaji sasa ukiuza bei ya chini wanaona kama mnapunguza mapato yao
Zama za JK walikuwa serikali za mitaa wanalazimisha iwe 10% ya bei ya kiwanja, ila kwa sasa hivi hali zao ni ngumu na huwa wapo tayari kuchukua pesa yoyote...

Waweza nunua kiwanja milioni 6 kisha wao serikali za mitaa mkawachangia elfu 80 tu (yaani muuzaji 40k, na mnunuzi 40k) badala ya laki 6 (10%). Hayo mambo ya 10% hayapo siku hizi...kuda da deki!
 
Hawaingilii ila wanakupa bei elekezi ila bei ya mwisho unapanga wewe. Ukishusha sana wanakuwa wanahofia kwamba labda mmewazunguka ili kwao mlipie kidogo. Ila hawakupangii hata ukitaka kuuza bei sawa na bure ni juu yako.

Ila wateja nao wanabana sana mtu anakushusha kutoka bei elekezi umeambiwa 3m wewe unaamua kuuza 2m na mteja anakushusha mpaka 1m dah inakaa siyo kabisa
Lugha tu za kibiashara hizo...serikali za mitaa hawawezi kuingilia bei aliyopanga mwenye kiwanja.
 
Bado wanaendeleza hiyo 10% labda kama kuna kuongea nao
Zama za JK walikuwa serikali za mitaa wanalazimisha iwe 10% ya bei ya kiwanja, ila kwa sasa hivi hali zao ni ngumu na huwa wapo tayari kuchukua pesa yoyote...waweza nunua kiwanja milioni 6 kisha wao serikali za mitaa mkawachangia elfu 80 tu (yaani muuzaji 40k, na mnunuzi 40k) badala ya laki 6 (10%). Hayo mambo ya 10% hayapo siku hizi...kuda da deki!
 
Kwa gari ni dk 10 kweli kwenye rough road umbali unakaribia 2km kutoka Morogoro road. We unadhani kwa umbali huo unaweza kutumia dk ngapi kwa gari? Nimeweka google map unaweza kuchek kutoka uliko mpaka huko utatumia muda gani kwa gari, kila kitu kinaonekana.
Dakika kumi kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
25 x 25 ni sawa na heka ngapi hapo kwako?
 
Wanaotaka kwenda kuona eneo hili kesho Jumapili nitakuwepo huko kuanzia saa nne asubuhi tayari pameshasafishwa. Kuona ni bure karibuni sana. Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa namba 0755401051
Karibu sana boss
 
Wanaotaka kwenda kuona eneo hili kesho Jumapili nitakuwepo huko kuanzia saa nne asubuhi tayari pameshasafishwa. Kuona ni bure karibuni sana. Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa namba 0755401051
Karibuni wateja maeneo yameshasafishwa yako safi kabisa
Screenshot_20200720-091158_Gallery.jpeg
Screenshot_20200720-091132_Gallery.jpeg
Screenshot_20200720-091122_Gallery.jpeg
 
Back
Top Bottom