Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Sometimes unapokuwa na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia, hapo hata personal hygiene yake ni mbaya..

Napenda sehemu ambazo za kistaarabu kuna pisi kali sawa ila descent na hawana njaa njaa yan mtu unainjoi hata kampani yake ..

Hivi wakulungwa wa sehem za burudan Dar , hizi sehemu zipo ? Kama zipo tuelekzane watu tunaopenda classic tufike tupate burudani...kuna nliyoambiwa tiffany & diamond

Hizi sehemu zingine za kihuni na biashara za kihuni za kununua sex tena kwa wahuni wengine wanavuta sigara wengine wanakula ugoro wananuka mijasho wengine hatuwezi
 
Hili swali mtu wa bata hawezi uliza!
Nlikua naenda sana kwa hawa wanaotaka kununuliwa bia au zile sehem zenye biashara chafu zinazoendelea ,, halaf pia sio kila mtu ni wa dar wemgine tunapita tu
 
Sometimes unapokua na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia, hapo hata personal hygiene yake ni mbaya..

Napenda sehemu ambazo za kistaarabu kuna pisi kali sawa ila descent na hawana njaa njaa yan mtu unainjoi hata kampani yake ..

Hivi wakulungwa wa sehem za burudan Dar , hizi sehemu zipo ? Kama zipo tuelekzane watu tunaopenda classic tufike tupate burudani...kuna nliyoambiwa tiffany & diamond

Hizi sehemu zingine za kihuni na biashara za kihuni za kununua sex tena kwa wahuni wengine wanavuta sigara wengine wanakula ugoro wananuka mijasho wengine hatuwezi
Dalili za kushika hela juzi hizi.

Anyway ingia havoc, wavuvi, and the likes kama unajiweza
 
Poa Felakuti ila viwanja viko wazima sana kwa unavyotaka wewe ni samaki samaki, warehouse,element,the voice ,heart choice n.k
Kwaio mkuu uhurumoja unaniambia hizo sehem ulizonitajia nikifika sitaombwa bia na kuambiwa matatizo ya ukoo mzima ..na zaid wanajipenda yan wananukia hata bia zao ni flying fish sio safari...kama pombe kali basi vodka
 
Back
Top Bottom