Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Kama ni mpita njia kama alivyoeleza huko kutamfa aweze safisha tongotongo.
Kwa sasahivi mimi viwanja hivyo kwenda labda Meeting . Yaani kuwe na ishu tena ya maana washkaji wawepo hapo wanitafute waniambie wapo hizo places wananiomba niende tukaongee ishu ndio naenda.
Ila mimi mwenyewe eti nijiamulie mwenyewe kabisa eti niende kidimbwi sijui wavuvi, rooftop samakisamaki, kitambaa cheupe haipo kabisa
Kama Mimi kabisa 💯💯💯naipita heart choice kama sioni
Starehe yangu imekuwa evening walk
 
Sogea hapo hutojutia 😜😜.. huko kwingine matoto yale yale ya uswazi yanasogea mida flani, soko likiwa gumu yanarudi yalipotoka.. unakuta manzi kitambaa inajiuza elfu 30, ukiikuta huko Amell inajiuza laki mbili.. kama hujui unapigwaaa 😅😅😅
Ohoooo unaona sasa..sasa sisi wa mikoan tukija kichwa kichwa si tunakula za uso ?
Mkuu kuna uzi nmekuta humu nisaidie ku certify hizo sehem 😂

*****
Wajuzi naomba ntililike na uzi
Kuna zile baa za mfano kitambaa juliana .wavuvi sijui elements hizo mengi ni mashindikanaa lakini kuna chimbo za kijanja za kula pisi mq banker .manesi .watumishinwa uma naomba ntaje zsngu
The hood
Hii ipo sinza mori ukienda uliza ka spiri t and wine shop haka asee kuna midada imepaki ndinga zao kali ina makalio balaa na videmu classic noma mida mizuri kuanzia saa 2 usiku
Tiriple 9
Haka kapo nyuma ya lion hotel hapa kuna vyuma unaweza changanyikiwa japo chunga kuna demu anaitwa mina ananywele kama msomari ana matako mwembamba ni jikedume ashawala sana jicho walevi
Dance club
Hapa ni survey asee nenda weekend saa 6 usiku wanachuo wamevaa uchi uwe tu na viingeleza vingi ila pia pana mashoga sana hawa ukimpiga bia mbili onesha demu yeyote umemla
Tiffany hotel
Hii iko posta bia ni elfu 5 kaka hapo mademu wa grade 1 tanzania utawakuta usipaogope ww ingia minya ghorofa ya 9 hutajuta hapo hadi mawaziri wapo
Mizizi pub
Hii iko masaki hapa pisi nyingi chotara au wamekaa mbele kiujumla ni watoto wa kishua wa masaki na mikocheni hapa ndo niko namalizia bia hapa de france nielekee hapo nkaboreshe kiingereza changu
 
Amell in dar bana ni malaya wa Kitambaa ndio Huwa wana pozi mida fulani ya mwanzo kabla ya saa saba, Same chick utayo buy kitambaa kwa 25k utaikuta Amell inakuambia 100k
Dah...asante kwa kunisanua mkuu 😁😁😁
 
Ohoooo unaona sasa..sasa sisi wa mikoan tukija kichwa kichwa si tunakula za uso ?
Mkuu kuna uzi nmekuta humu nisaidie ku certify hizo sehem 😂

*****
Wajuzi naomba ntililike na uzi
Kuna zile baa za mfano kitambaa juliana .wavuvi sijui elements hizo mengi ni mashindikanaa lakini kuna chimbo za kijanja za kula pisi mq banker .manesi .watumishinwa uma naomba ntaje zsngu
The hood
Hii ipo sinza mori ukienda uliza ka spiri t and wine shop haka asee kuna midada imepaki ndinga zao kali ina makalio balaa na videmu classic noma mida mizuri kuanzia saa 2 usiku
Tiriple 9
Haka kapo nyuma ya lion hotel hapa kuna vyuma unaweza changanyikiwa japo chunga kuna demu anaitwa mina ananywele kama msomari ana matako mwembamba ni jikedume ashawala sana jicho walevi
Dance club
Hapa ni survey asee nenda weekend saa 6 usiku wanachuo wamevaa uchi uwe tu na viingeleza vingi ila pia pana mashoga sana hawa ukimpiga bia mbili onesha demu yeyote umemla
Tiffany hotel
Hii iko posta bia ni elfu 5 kaka hapo mademu wa grade 1 tanzania utawakuta usipaogope ww ingia minya ghorofa ya 9 hutajuta hapo hadi mawaziri wapo
Mizizi pub
Hii iko masaki hapa pisi nyingi chotara au wamekaa mbele kiujumla ni watoto wa kishua wa masaki na mikocheni hapa ndo niko namalizia bia hapa de france nielekee hapo nkaboreshe kiingereza changu
Hamna kitu hapo mkuu
 
Mkuu sio kwa ubaya ila ukipata pesa tumia ,,unaweza kubania gafla unateleza unakita kichwa kwenye jiwe kwisha habar yako, waliobaki wanachukua mali zako wanaenda kutumbua..

Kwa hiyo hiyo hela yako ukiitumia hivyo kwa starehe ndio hutakufa?
Kufa kupo palepale acha kutoa excuse ya kufa Kwenye hayo maamuzi yako ya kula bata
Natumaini kwamba pamoja na hilo bata unafanya na mambo mengine more positive and rational kama kufanya uwekezaji wa kuingiza kipato zaidi na zaidi ni kheri ufe ukiwa umeacha vitu tangible katika jamii kulipo ufariki ukiacha kumbukumbu ya kwamba ulikuwa mla bata wa nguvu
Anyway sikujui hunijui zaidi ya kusomana hapa jf.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa ushauri wangu
 
Kwa hiyo hiyo hela yako ukiitumia hivyo kwa starehe ndio hutakufa?
Kufa kupo palepale acha kutoa excuse ya kufa Kwenye hayo maamuzi yako ya kula bata
Natumaini kwamba pamoja na hilo bata unafanya na mambo mengine more positive and rational kama kufanya uwekezaji wa kuingiza kipato zaidi na zaidi ni kheri ufe ukiwa umeacha vitu tangible katika jamii kulipo ufariki ukiacha kumbukumbu ya kwamba ulikuwa mla bata wa nguvu
Anyway sikujui hunijui zaidi ya kusomana hapa jf.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa ushauri wangu
😂😂😂 Nikwazikke kwa lipi na pesa ni yangu na maisha ni yangu. Kufanya hizo rational decision za maisha na takataka zingine hainizuii kuinjoi life ..kila mtu ana namna yake ya kufurahia maisha mwingine anajifungia ndani kama bakuli, mwingine anaenda duniani kufanya adventures, mwingine anasafir nchi mbalimbali,,..mwingine anakaa siriaz masaa 24 na kuwaza kuhusu maisha n.k, so kila mbuzi atakula kwa uref wa kamba yake kama mama yetu samia anavyosema.
 
😂😂😂 Nikwazikke kwa lipi na pesa ni yangu na maisha ni yangu. Kufanya hizo rational decision za maisha na takataka zingine hainizuii kuinjoi life ..kila mtu ana namna yake ya kufurahia maisha mwingine anajifungia ndani kama bakuli, mwingine anaenda duniani kufanya adventures, mwingine anasafir nchi mbalimbali,,..mwingine anakaa siriaz masaa 24 na kuwaza kuhusu maisha n.k, so kila mbuzi atakula kwa uref wa kamba yake kama mama yetu samia anavyosema.
Hapa umeongea Mkuu.

Hata kama tunachopata ni kidogo, ndio kuna kuwekeza lakini kula maisha ni muhimu.

Mimi siwezi kuacha kusafiri duniani ase.
 
Kwa hiyo hiyo hela yako ukiitumia hivyo kwa starehe ndio hutakufa?
Kufa kupo palepale acha kutoa excuse ya kufa Kwenye hayo maamuzi yako ya kula bata
Natumaini kwamba pamoja na hilo bata unafanya na mambo mengine more positive and rational kama kufanya uwekezaji wa kuingiza kipato zaidi na zaidi ni kheri ufe ukiwa umeacha vitu tangible katika jamii kulipo ufariki ukiacha kumbukumbu ya kwamba ulikuwa mla bata wa nguvu
Anyway sikujui hunijui zaidi ya kusomana hapa jf.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa ushauri wangu
Jizuie sana kutoa ushauri ambapo hujaombwa
 
Hapa umeongea Mkuu.

Hata kama tunachopata ni kidogo, ndio kuna kuwekeza lakini kula maisha ni muhimu.

Mimi siwezi kuacha kusafiri duniani ase.
Mkuu kwan unafikir kwanin waafrika wengi haswa ukanda wetu huu tunakufa vifo vya gafla vinavyotokana na msongo mkubwa wa mawazo? Ni kwa sabab hizi hizi, tunashindwa ku balance kati ya work na exposure/leisure,, unakuta hata familia yako unaenda nao sehem kwa watu watoto wanashangaa baadhi ya vyakula ama vinywaji, hata kwenye upande wa mahusiano ushawah kuona mtu unaboa yani unaboa halaf unaboa tena, huna exposure yoyote hukutani na watu , hutaman kukaa na watu wapya upate mambo mapya, hata likizo unapata kazini unabak mkoa huo huo uliopo, mzee unawaza maisha masaa 24, kwa siku 365, unbana hela na kufanya maisha kwanini usidondoke au kwanini usiwe na maisha yenye msongo mkubwa wa mawazo eti unafanya maisha..
 
Mkuu kwan unafikir kwanin waafrika wengi haswa ukanda wetu huu tunakufa vifo vya gafla vinavyotokana na msongo mkubwa wa mawazo? Ni kwa sabab hizi hizi, tunashindwa ku balance kati ya work na exposure/leisure,, unakuta hata familia yako unaenda nao sehem kwa watu watoto wanashangaa baadhi ya vyakula ama vinywaji, hata kwenye upande wa mahusiano ushawah kuona mtu unaboa yani unaboa halaf unaboa tena, huna exposure yoyote hukutani na watu , hutaman kukaa na watu wapya upate mambo mapya, hata likizo unapata kazini unabak mkoa huo huo uliopo, mzee unawaza maisha masaa 24, kwa siku 365, unbana hela na kufanya maisha kwanini usidondoke au kwanini usiwe na maisha yenye msongo mkubwa wa mawazo eti unafanya maisha..
Umemaliza kila kitu hapa Mkuu.

Na wengi wetu tumechelewa sana kufahamu upande huo wa maisha.

Vitu vyote ulivyoelezea katika comment hii nimepitia na nimejilaumu sana kuchelewa kuanza kuishi kisa elimu, kazi ama kwa kupenda mwenyewe.
 
Kama Mimi kabisa 💯💯💯naipita heart choice kama sioni
Starehe yangu imekuwa evening walk
Mimi mara nyingi saa 2 usiku natoka zangu na pensi yangu chini raba juu tisheti na kofia watu wanaeza zani naenda sehemu kuchil kumbe nakua road natembea narudi Home saa4 .
Nakuwa so relax sana na kesho naamka vizuri, ukiamkia hangovers inakuwa shidashida kidogo
 
Kwa hiyo hiyo hela yako ukiitumia hivyo kwa starehe ndio hutakufa?
Kufa kupo palepale acha kutoa excuse ya kufa Kwenye hayo maamuzi yako ya kula bata
Natumaini kwamba pamoja na hilo bata unafanya na mambo mengine more positive and rational kama kufanya uwekezaji wa kuingiza kipato zaidi na zaidi ni kheri ufe ukiwa umeacha vitu tangible katika jamii kulipo ufariki ukiacha kumbukumbu ya kwamba ulikuwa mla bata wa nguvu
Anyway sikujui hunijui zaidi ya kusomana hapa jf.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa ushauri wangu
Jamaa hajaomba ushauri wa uwekezaji..ameomba ushauri sehemu za kutumia
 
Mimi mara nyingi saa 2 usiku natoka zangu na pensi yangu chini raba juu tisheti na kofia watu wanaeza zani naenda sehemu kuchil kumbe nakua road natembea narudi Home saa4 .
Nakuwa so relax sana na kesho naamka vizuri, ukiamkia hangovers inakuwa shidashida kidogo
Ndio mfumo kwa Sasa evening walk morning walk unapata usingizi laini kabisa
 
Back
Top Bottom