Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nikiwa na stress, nita kushitua twende madam.basi siku ukiwa na stress uende ukachill hapo maana najua hivi hivi huwezi enda 🤣
Bro huko nenda mwenyewe 😆 🤣
Mjumba na mizagamuano, ni Kama vile Mimi na msosi🤣😆Na savannah ukute hapo 10k, shenz type. Mie naenda mwenyewe nikale nyama nashushia na coke baridi sana nao doka zangu.
Wa savannah tutaonana kwenye 3some lakini sio hapo bara vbeach
Nikiwa na vibe ni msosi, movie + games tu.Basi sio kitu unapenda hata ukisema unaenda huwezi enjoy ni muhimu kufanya kitu unapenda na sio kujilazimisha, mie napenda sana hasa mahotel kama lamada ila ndo sina hela 😂
sawa sawa basi maeneo kama hayo ndo yanakufaa maana yana utulivu kiasi chake, unaweza kunywa mocktail,milkshake, cappuccino,Non-Alcoholic Spritzers, Sparkling Water with Lemon or Mint n.kNikiwa na stress, nita kushitua twende madam.
Maana kwa Akili zangu naweza fika Nika ondoka🤣😆.
Note: sija wahi tumia kilevi chochote au kuvuta sigara MrsPablo1
sio mbayaNikiwa na vibe ni msosi, movie + games tu.
☺️ Poa. Kuna vibe hapo?felakuti we njoo tuu dar then twenzetu tukale bata bara beach 😂View attachment 3201844
Usiku vibe lipo ila mchana pamepoa☺️ Poa. Kuna vibe hapo?