Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Naam ndo maisha, sometimes una ondoa vurugu kichwani.Yeye keshasema mambo hizo hataki anataka ustaarabu uchukue nafasi yake ale bata kwa amani 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam ndo maisha, sometimes una ondoa vurugu kichwani.Yeye keshasema mambo hizo hataki anataka ustaarabu uchukue nafasi yake ale bata kwa amani 😂
siku niki jisikia kwenda, Nita kushitua tuka zurure kaka.😁😁😁 ahh njaa kali hizo brother, Ila Mimi binafsi sehemu hizo nyingi nimeenda sababu ya clients niliokuwa nakutana nao kipindi nipo kwenye industry flani. Wao meeting sio kwa ofisi, ni kwenye restaurants na coffee shops. Na gharama zake huwa kawaida tu, 6k - 10k
Poa Poa, najua nitakula pindi za business 😁✊🏽✊🏽siku niki jisikia kwenda, Nita kushitua tuka zurure kaka.
Haya tafuta pesa na wewe ukajionee watu wanavyotumia pesa.Naam ndo maisha, sometimes una ondoa vurugu kichwani.
Mi huwa sitafuti kitu, ili nikaone watu wanavyo tumia hicho kitu.Haya tafuta pesa na wewe ukajionee watu wanavyotumia pesa.
Maybe we will talk about music, godson ya marioo album Kali😆.Poa Poa, najua nitakula pindi za business 😁✊🏽✊🏽
Album nyepesi, tusipoteze muda 😁Maybe we will talk about music, godson ya marioo album Kali😆.
sema collabo zote, kafunikwa
High, Nairobi, salio, my daughter, wangu. sober. Wivu tu😆Album nyepesi, tusipoteze muda 😁
Tuongelee viwanja tu
Ana njaa na Anataka kula bata!!? 😁NJAA,kuhudumia ni kazi sana.
Kwani ukivuka hiyo stage lazima uirudie? Au ni raia wamejijengea hivyo vichwani mwao ili kuhalalisha tabia Fulani ?Nina rafiki yangu kanizidi umri karibu miaka kumi. anahangaika huyo balaa. Lakini ni wale walivuka stage, kasoma chuo anakaa kwao kumaliza tu kaoa! Kwahio hajaonja yale maisha ya kuwa mwenyewe na una kipato fulani ile ya 24-30s
Ni nyepesi kwa level za Marioo.. Angekuwa underground asingetoboa..High, Nairobi, salio, my daughter, wangu. sober. Wivu tu😆
Una penda kucheza MrsPablo1 ??After Bahari beach hotel pazuri na dj anajua sana na usiende na pesa ya mawazo
naam, hit zina waponza. Wana sahau pen game Yao.Ni nyepesi kwa level za Marioo.. Angekuwa underground asingetoboa..
After bahari beach kama unaelekea rudys farm?After Bahari beach hotel pazuri na dj anajua sana na usiende na pesa ya mawazo
Na siku hiyo hiyo ameziona siku zakeSio ubinafsi...mtu siku ya kwanza anaanza kukuambia hana kodi ya nyumba mara amefiwa mara anauguza ...
Yes ukiandika tuu kwa map bara beach unafika, hakuna kiingilio ila ikifika jioni sehemu zile nzuri nzuri za kukaa zinakuwa full booked, kwenye gharama sio kiivo bhana ukiwa na laki tatu watu wawili inatosha kabisa chakula na pombee.. mie ni mpenzi wa cocktail sasa hapo cocktail zao ni mbaya sana so huwa napenda kuchill hapo mchana kwasasabu kuna sehemu ya watoto kucheza hiyo ina kiingilio efu 10, then jioni nitahamia cape town fish market kuimalizia siku na cocktail zao.After bahari beach kama unaelekea rudys farm?
Hela ya mawazo kwani hapo sparkiling water wanauzaje na chips yai?
Kuna kiingilio?
Shida yangu mimi sio pesa, ila kuitoa hiyo pesa mfukoni kuilipa😆.Yes ukiandika tuu kwa map bara beach unafika, hakuna kiingilio ila ikifika jioni sehemu zile nzuri nzuri za kukaa zinakuwa full booked, kwenye gharama sio kiivo bhana ukiwa na laki tatu watu wawili inatosha kabisa chakula na pombee.. mie ni mpenzi wa cocktail sasa hapo cocktail zao ni mbaya sana so huwa napenda kuchill hapo mchana kwasasabu kuna sehemu ya watoto kucheza hiyo ina kiingilio efu 10, then jioni nitahamia cape town fish market kuimalizia siku na cocktail zao.
Nime cheka Sana, eti hujui kucheza.Sijui ata kucheza, ila huyo dj anajua kuzipiga nyimbo jamani stress unaziacha pale pale ila sio nyimbo zetu hizi za zombie watakurooooga 🤣
Hizi sehemu zingine za kihuni na biashara za kihuni za kununua sex tena kwa wahuni wengine wanavuta sigara wengine wanakula ugoro wananuka mijasho wengine hatuwezi