Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Yes ukiandika tuu kwa map bara beach unafika, hakuna kiingilio ila ikifika jioni sehemu zile nzuri nzuri za kukaa zinakuwa full booked, kwenye gharama sio kiivo bhana ukiwa na laki tatu watu wawili inatosha kabisa chakula na pombee.. mie ni mpenzi wa cocktail sasa hapo cocktail zao ni mbaya sana so huwa napenda kuchill hapo mchana kwasasabu kuna sehemu ya watoto kucheza hiyo ina kiingilio efu 10, then jioni nitahamia cape town fish market kuimalizia siku na cocktail zao.
Laki 3 watu wawili! Mweee!
Hapo sii nimegegeda mbususu 6 za buku 50 jamani.
Anyways starehe gharama wacha siku nijipeleke mwenyewe. Moshakaki na sparkling water zinatosha
 
Shida yangu mimi sio pesa, ila kuitoa hiyo pesa mfukoni kuilipa😆.

Sema cap town fish market, nasikia ni pazuri pia.
Inategemea na malengo na mipango na pesa zako kama mtu bado unajitafuta hizo sio sehemu za kwenda kabisaaa 🤣 mfano mtu unabiashara unataka ikue sasa faida si unatakiwa urudishe kwenye biashara na sio kwenda kula bata . kuna siku nimeenda wavuvi na marafiki yani laki saba iliisha chap tuu na watu wako happy. mimi binafsi siwezi kukaaa sehemu kama kitambaa cheupe sijui 40 40 na hizi bar za kawaida za mtaani, sehemu ambayo huwa navumilia kukaa tena asubuhi ni hongera bar pale sinza kwa sababu ya mtorii 😋, zaidi ya hapo kama sina pesa ni kulala tuu nyumbani na uzuri sinywi bia 😂
 
Laki 3 watu wawili! Mweee!
Hapo sii nimegegeda mbususu 6 za buku 50 jamani.
Anyways starehe gharama wacha siku nijipeleke mwenyewe. Moshakaki na sparkling water zinatosha
ngoja nikuonyeshe chakula cha 70k 😂
IMG_6184.jpeg
 
Inategemea na malengo na mipango na pesa zako kama mtu bado unajitafuta hizo sio sehemu za kwenda kabisaaa 🤣 mfano mtu unabiashara unataka ikue sasa faida si unatakiwa urudishe kwenye biashara na sio kwenda kula bata . kuna siku nimeenda wavuvi na marafiki yani laki saba iliisha chap tuu na watu wako happy. mimi binafsi siwezi kukaaa sehemu kama kitambaa cheupe sijui 40 40 na hizi bar za kawaida za mtaani, sehemu ambayo huwa navumilia kukaa tena asubuhi ni hongera bar pale sinza kwa sababu ya mtorii 😋, zaidi ya hapo kama sina pesa ni kulala tuu nyumbani na uzuri sinywi bia 😂
shida Ina weza kuwepo, ila kuilipa ndo tatizo.
Moyo wangu una maamuzi ya ajabu Sana, naweza kwenda kupika chakula nika gawa kwa wahitaji.

Ila mimi Kama mimi nashindwa, mfano holiday hii nime spend na familia yetu.
I won't lie nime pasuka, ila kwa furaha.
 
bro nili dhani mimi ni bahili peke yangu, kumbe tuko wengi.
MrsPablo1 ona huyu Jamaa🤣
Akienda wavuvi anajinyonga walahii 😆, kuna siku tupo hapo bara beach tumekaa kwenye meza usawa wa bahari basi wakaja wazungu na mmbongo wakaa meza ya pembeni yetu muhudumu akawafata akawaambia kukaa hapo mnatakiwa kulipia laki tatu hiyo sea view inagombaniwa na watu inabidi watuangalie sisi na kuuliza ina maana wale wadada pale wamelipia laki tatu kukaaa tuu bado msosi na vinywaji 😂😂, ikabidi mmoja aje kuuliza kumbe yule waiter alitaka kuwapiga baadae akawa anajitetea ooh kukaa upande huo lazima bill yenu isipungue laki tatu 😅 basi wakaondoka zao wakatupa sisi hela na sisi ile hela tukampa waiter wetu tip sio huyo mpigaji 🤣
 
shida Ina weza kuwepo, ila kuilipa ndo tatizo.
Moyo wangu una maamuzi ya ajabu Sana, naweza kwenda kupika chakula nika gawa kwa wahitaji.

Ila mimi Kama mimi nashindwa, mfano holiday hii nime spend na familia yetu.
I won't lie nime pasuka, ila kwa furaha.
Basi sio kitu unapenda hata ukisema unaenda huwezi enjoy ni muhimu kufanya kitu unapenda na sio kujilazimisha, mie napenda sana hasa mahotel kama lamada ila ndo sina hela 😂
 
Na savannah ukute hapo 10k, shenz type. Mie naenda mwenyewe nikale nyama nashushia na coke baridi sana nao doka zangu.
Wa savannah tutaonana kwenye 3some lakini sio hapo bara vbeach
na kama unajua kuogelea ukaogelee baharini, ila mtoko wa peke yako una enjoy kweli?, kuna siku nipo hapo nikaona bebes zimekaa kwenye macoach zinakula tuu biscuit sasa sijui zilikuwa mawindoni 🤣
 
Sometimes unapokuwa na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia, hapo hata personal hygiene yake ni mbaya..

Napenda sehemu ambazo za kistaarabu kuna pisi kali sawa ila descent na hawana njaa njaa yan mtu unainjoi hata kampani yake ..

Hivi wakulungwa wa sehem za burudan Dar , hizi sehemu zipo ? Kama zipo tuelekzane watu tunaopenda classic tufike tupate burudani...kuna nliyoambiwa tiffany & diamond

Hizi sehemu zingine za kihuni na biashara za kihuni za kununua sex tena kwa wahuni wengine wanavuta sigara wengine wanakula ugoro wananuka mijasho wengine hatuwezi
GQxzdnKWwAEDezo.jpg
 
Back
Top Bottom