Hapo Embassy Hotel ndipo ulikua ukumbi wa nyumbani band ya Mk group A.K.A. watoto wa magorofani.Hotel Embassy
Kanisa gani?Sisimizi imegeuka kuwa kanisa
Mango garden kipindi inaanza kiingilio bia,Twanga wanakiwasha hapo na kibao chao cha "Kisa cha mpemba"Mango walikua na mchemsho mzuri.
Cjawahi tambua km kuna pakufikia pale never pamoja na kwenda sn kupata msosiYenu bar palikuwa na misosi sana, nyuma guest house
Ukaona maneno yasiwe mang'ana ukatoka balu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sikutaka hata kujua ni upande Gani coz hata hao wa upande wa kike siwakubali abadani. Nilishtuka Sana kiukweli. Tatizo sio Ile bia tatizo kukonyezwa alafu Kila nikiangalia pembeni sioni mtu zaidi yangu ikimaanisha Mimi ndio nimekonyezwa.
1. Mango Garden Mwananyamala1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Kwa kweli hizi kumbi siku wahi kuingia hata moja, zaidi ya kusoma, ukurasa wa matangazo gazeti la mfanyaka, maana ukiondoa drive inn, zingine zilikua huko katikati ya jiji, na hali uchumi enzi hizo nikua sijiwezi sana.New chox
Odeon
Drive inn
Empress
Empire
Avalon
Cameo/Jamhuri
kumbi za Cinema hizo enzi hizoNew chox
Odeon
Drive inn
Empress
Empire
Avalon
Cameo/Jamhuri
Roya Village Msasani- Masaki Border420 Masaki
Lijongo kama nini😀😀😀Bilicanas asee yani miaka hiyo ya 70 hadi themanini. Nikikumbuka enzi hizo za ujana wangu. Kununua nyama tu lazima uombe kibali kwa mwenyekiti ana mjumbe.
Kwa kweli hizi kumbi siku wahi kuingia hata moja, zaidi ya kusoma, ukurasa wa matangazo gazeti la mfanyaka, maana ukiondoa drive inn, zingine zilikua huko katikati ya jiji, na hali uchumi enzi hizo nikua sijiwezi sana.New chox
Odeon
Drive inn
Empress
Empire
Avalon
Cameo/Jamhuri