Mimi nimepewa 4GB. Inawezekana wanatoa bundle kwa kulingana na utumiaji na uwekaji wa bundle kwenye Simu. Sasa kama jamaa anatumia Mb 35 za tuzo kwa wiki anataka apewe GB 80? Wanatoa kulingana na unavyotumia na kujiunga.Nimepewa gb 2 hawana baya mkuu
🤣🤣🤣5. Kwamba hamuoni taabu kuuthibitisha usemi wa nabii Issa kuhusiana na ugumu kwa tajiri kuingia mbinguni?
Mimi nimepewa 4GB. Inawezekana wanatoa bundle kwa kulingana na utumiaji na uwekaji wa bundle kwenye Simu. Sasa kama jamaa anatumia Mb 35 za tuzo kwa wiki anataka apewe GB 80? Wanatoa kulingana na unavyotumia na kujiunga.
Nimepewa gb 2 hawana baya mkuu
Sidhani kama ni wote. Sijaona chochote AirtelMitandao yote wamefanya hivyo ndugu yawezekana wanatuona mazuzu sana
Ila halotelSidhani kama ni yote. Sijaona chochote Airtel
Labda bado wako kwenye tafakari ya namna ya kupiga panga. Hawana jema hawa ndugu.Sidhani kama ni yote. Sijaona chochote Airtel
Kabisa. Nina hakika wamelaani hasa kwa Voda kuanza kutangaza fidia.Labda bado wako kwwnye tafakari ya namna ya kupiga panga. Hawana jema hawa ndugu.
Umepewa GB 4 ndani ya Saa 24 unajiona mjanja mwisho unakuwa huna kazi nazo unaishia kuangalia chonda ili kukimbizana na muda.Mimi nimepewa 4GB. Inawezekana wanatoa bundle kwa kulingana na utumiaji na uwekaji wa bundle kwenye Simu. Sasa kama jamaa anatumia Mb 35 za tuzo kwa wiki anataka apewe GB 80? Wanatoa kulingana na unavyotumia na kujiunga.
Kabisa. Nina hakika wamelaani hasa kwa Voda kuanza kutangaza fidia.
Mie nimepewa 2GB kwa wiki