Vodacom, compensation hii ya bando ni kwa kutuona je?

Vodacom, compensation hii ya bando ni kwa kutuona je?

1GB kwa siku 7
1000210628.jpg
 
Inaonekana wamerefund kutokana na kifurushi ulichonunua siku hizo za changamoto ya internet.

Kama ulinunua cha siku unapewa hivyo hivyo, kwa wiki hivyo hivyo.

1. Hudhani ulichoandika ni kuonyesha ujuaji tu ndugu?

2. Wewe si wao, Kulikoni kuwajibia tena kwa hisia tu?

3. Umeelewa tatizo la msingi hapa ni hilu bando kwisha kwa ku expire ambalo wengine tunalipigia kelele siku zote?

4. Kwani kama bando lisingekuwa la expire yangekuwapo malalamiko haya?

5. Kwa vile waonesha kuwajibia unaweza kutujulisha kwa nini bando hu expire? Au ni kama maziwa tu kuwa huchacha?!

Majibu yako tafadhali ndugu tajiri.
 
1. Hudhani ulichoandika ni kuonyesha ujuaji tu ndugu?

2. Wewe si wao, Kulikoni kuwajibia tena kwa hisia tu?

3. Umeelewa tatizo la msingi hapa ni hilu bando kwisha kwa ku expire ambalo wengine tunalipigia kelele siku zote?

4. Kwani kama bando lisingekuwa la expire yangekuwapo malalamiko haya?

5. Kwa vile waonesha kuwajibia unaweza kutujulisha kwa nini bando hu expire? Au ni kama maziwa tu kuwa huchacha?!

Majibu yako tafadhali ndugu tajiri.
1. Hudhani ulichoandika ni kuonyesha ujuaji tu ndugu?

2. Wewe si wao, Kulikoni kuwajibia tena kwa hisia tu?

3. Umeelewa tatizo la msingi hapa ni hilu bando kwisha kwa ku expire ambalo wengine tunalipigia kelele siku zote?

4. Kwani kama bando lisingekuwa la expire yangekuwapo malalamiko haya?

5. Kwa vile waonesha kuwajibia unaweza kutujulisha kwa nini bando hu expire? Au ni kama maziwa tu kuwa huchacha?!

Majibu yako tafadhali ndugu tajiri.
Mkuu mbona una jazba sana?

Yaani jibu langu dogo tu lakini umeniandikia waraka.

Anyways, nimefikiria tu hivyo kulingana na utofauti wa kile mtu alichokuwa refunded.
 
Unalipwa/rejeshewa kadri ya kile ulichoweka kipindi cha matatizo ya internet.

Sasa wewe unaweka bando la jero MB200 ya siku halafu unataka urudishiwe GB2.

Pambana na hali yako mkuu.
 
Mkuu mbona una jazba sana?

Yaani jibu langu dogo tu lakini umeniandikia waraka.

Anyways, nimefikiria tu hivyo kulingana na utofauti wa kile mtu alichokuwa refunded.

Ujuaji mwingi mno ndugu. Hadi jazba umeona? Si ujibu tu:

"Kwa vile waonesha kuwajibia unaweza kutujulisha kwa nini bando hu expire? Au ni kama maziwa tu kuwa huchacha?!"
 
Unalipwa/rejeshewa kadri ya kile ulichoweka kipindi cha matatizo ya internet.

Sasa wewe unaweka bando la jero MB200 ya siku halafu unataka urudishiwe GB2.

Pambana na hali yako mkuu.

1. Ulielewa kuwa mada ina hoji uhalali wa bando kuchacha?

2. Kwani bando zisingekuwa zinachacha mtandao ungekatikia Mozambique huko nani angelalamika hivi?

3. Au kwani wewe huweka bando la shs ngapi ndugu tajiri? 🤣🤣
 
1. Kwamba huduma zenu ni kwa muda na kwa MB za bando?


2. Kwamba bando hu expire kwa siku au MB kuisha kutegemea kipi kinakuja mapema?

View attachment 2992060

3. Kwamba mtandao umesua sua kwa takribani wiki nzima, ila nyie fidia yenu ni kwa masaa 24 tu, tena kuanzia usiku wa manane?

4. Hivi ni kwa kutuona je enyi ndugu?

5. Kwamba hamuoni taabu kuuthibitisha usemi wa nabii Issa kuhusiana na ugumu kwa tajiri kuingia mbinguni?

6. Kwa hakika uthibitisho wenu ni wa matendo!
Mdau mi naona wametoa ofa, binafsi siku mtandao unazingua nilinunua GB zangu kadhaa na nikazitumia kiasi coz mtandao uliwa accessible kiasi. Ila uliporudi wamenipa tena GBs free, nadhani hapa ndio ule msemo wa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake unahusika.
 
Mdau mi naona wametoa ofa, binafsi siku mtandao unazingua nilinunua GB zangu kadhaa na nikazitumia kiasi coz mtandao uliwa accessible kiasi. Ila uliporudi wamenipa tena GBs free, nadhani hapa ndio ule msemo wa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake unahusika.

1. Labda ni kiswahili kigumu. Msingi wa hoja:

"Kuna uhalali gani bando lisilotumika kuchacha?"

2. Wacha maneno, weka muziki!
 
1. Labda ni kiswahili kigumu. Msingi wa hoja:

"Kuna uhalali gani bando lisilotumika kuchacha?"

2. Wacha maneno, weka muziki!
Kwenye maelezo yako usingeweka neno mtandao kusumbua ungeeleweka kirahisi, bando kuchacha ni hoja ya zamani tulishazika labda kama we mgeni Tanzania.
 
Back
Top Bottom