Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Nilichobaini mleta mada ni mjuaji na ana stress za maisha, ana complain kwa vitu ambavyo havina utatuzi kwa njia yake ya kuleta porojo jf, vilishaongelewa na wakubwa, media zikaimba na hakuna kilichobadilika.
Pili mtu anaenunua bando la MB 500 kwa zama hizi ni mwanamke(tena wa buza huko) anaetegemea vocha za kuomba ila mwanaume unanunua bando la 500 MB na unalalamika kabisa, Dah.
Pili mtu anaenunua bando la MB 500 kwa zama hizi ni mwanamke(tena wa buza huko) anaetegemea vocha za kuomba ila mwanaume unanunua bando la 500 MB na unalalamika kabisa, Dah.